Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Masinagogi ya mikesha
IMG_20211127_221109_315.jpg
 
Acha viumane mi niliuchuna tuu!![emoji28][emoji1][emoji2][emoji2][emoji1]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi niliona kule kwenye uzi fulani hivi.


Ila mtu kubadilika ni ngumu aisee,,
Tone ya uandishi huwa inakuwa ileile.


Halafu hadi leo nasubiri ile picha nzuri ya sketi ya marinda[emoji3059]
 
Kuna dogo hapa mjanja sana wa haya mambo. Naamini anaweza kuisafisha hii picha bila wasiwasi [emoji16][emoji16][emoji16]
Kiboko ni screenshoot unaipiga hivyo, alafu unachapa screenshoot.. hakuna hata wa kuondoa ukungu, picha za mitandaoni nyingi napenda weka za screenshoot kwasababu hazi contain data
 
Back
Top Bottom