Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 62,011
- 156,364
Acha utani walai!! 🙆🙆🙆🙆!!! 🤣🤣Kuna dogo hapa mjanja sana wa haya mambo. Naamini anaweza kuisafisha hii picha bila wasiwasi
Acha utani walai!! 🙆🙆🙆🙆!!! 🤣🤣Kuna dogo hapa mjanja sana wa haya mambo. Naamini anaweza kuisafisha hii picha bila wasiwasi
Nilirudi wiki iliyopita na walinitambua.Siku ukija kurudi Mbeya hawatakutambua. Jiji litakuwa limekunawirisha na kukubadilisha kabisa
Hivi I'd yako ingine ni ipi?I was about to..kukujia na nyingine..
ID ninayo moja tu hii..Hivi I'd yako ingine ni ipi?
Isije kuwa ulikuja na zote
Ooh sawaID ninayo moja tu hii..
Nilimaanisha nilikuwa najiandaa kuzungumza na ID hii yake nyingine nisijue narudia mtu mmoja.
I'd yake mbona ipo wazi.Watu wanaaa sana
Ha ha ha
Acha viumane mi niliuchuna tuu!!
Kiboko ni screenshoot unaipiga hivyo, alafu unachapa screenshoot.. hakuna hata wa kuondoa ukungu, picha za mitandaoni nyingi napenda weka za screenshoot kwasababu hazi contain dataKuna dogo hapa mjanja sana wa haya mambo. Naamini anaweza kuisafisha hii picha bila wasiwasi
Ondoa emoj basi mama mchungaji
Unataka ushtuke??Ondoa emoj basi mama mchungaji
Nakusema kwa Jack PalladinoUnataka ushtuke??
Sura yangu huwa naitumia kutishia watoto wasumbufu.
Huyo Palladino ni nani kwani?Nakusema kwa Jack Palladino
Ondoa emoj mama mchungaji tafadhali
Mchumba wake mama mchungajiHuyo Palladino ni nani kwani?
Tulibadilishana na majina.Mchumba wake mama mchungaji