Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mtoto Depal sasa hivi yupo fofofo,midenda inamtoka shavuni inachafua shuka...Kwa kuawahi kuamka sasa,Kama jogoo[emoji28].Akiamka me ndy najiandaa kwenda kulala

Ila tunaofanya kazi za kukesha tuna maisha magumu sn.Yani mida huu mtu upo macho unaweza kujikuta unazibuliwa vibao vya uso na majini [emoji1787]

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Saint Anne mekubakishia...
20211128_084739.jpg
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hapa ndio naamka asee , nakutana na mvuaa tu.. mda huo Depal alikuwa kalalia kifua weweeee
Kuhusu Depal mkuu usiseme hivyoooo!!
Roho inauma,Mimi nanyeshewa mvua na night shift wewe mtoto kalalia kifua[emoji3]

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom