Eti jini mkata kamba1😅😅😅Tulibadilishana na majina.
Akaajiita Saint Jack,nikajiita Anne Palladino.,
Nikawa namwaga hadi mashairi mtoto wa watu kama mwanahiphop vile,
Nikamwandikia na maujumbe ya mahaba kwa mwandiko wangu mzuuri ..
Lakini wapi,jini mkata kamba akapita.
Jack Palladino ni wako tu mama mchungaji
,jini mkata kamba akapita.




