cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,409
- 137,014
Mmeanza tena
Mmeanza tena
Si kuna ile form three ,sijui ni form 2 ile,,
Vishazi sijui virai
Yaani tafrani tu.
Au kwenye Fasihi Andishi unakutana na swali kama hili. Kiswahili nadhani nilipata D kama siyo F kabisaNikikumbuka Olevel zile fimbo za mwalimu kwenye kuchambua sentensi sijui matawi,,dah mara unaandika kivumishi kumbe ni kitenzi kishirikishi sijui
Mara shina,unanyumbua sentensi nazo zinakunyumbua,inakuwa mnyumbuliko.
Niliachana kabisa na habari za kiswahili.
Eeh! Nimeingia dodoma hapa 😀😀Muda huu?
Aisee uko na chombo gani inapepea namna hio?Eeh! Nimeingia dodoma hapa 😀😀
Sijui kiharifu/arifu mara kishazi,Au kwenye Fasihi Andishi unakutana na swali kama hili. Kiswahili nadhani nilipata D kama siyo F kabisa
View attachment 2020098
Ugali laini sana huo kamanda hauwezi kuwa wa Kisukuma. Labda kama kuna mwingine mgumu wa lala salama.Nguna , usukuma ni mwingi sana View attachment 2020147
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Kiambishi awali cha nafsi ya kwanza yakinishi dah!Sijui kiharifu mara kishazi,
Kivumishi kielezi,sijui cha sifa ni mshikemshike.
Sijui kivumishi kimilikishiKiambishi awali cha nafsi ya kwanza yakinishi dah!
Kiambishi yambwa cha ngeli ya nomino dhahnia...
Fonimu tendeshi....
Kiswahili acha tu!
Yaan sisemi uongo, level zote nilizopita class langu lilikua linaongozwa na wapare,Hatuvimbi ndio utofauti wetu ulipo!
Wapi huko?Mje tunywe bia.
Ugali laini sana huo kamanda hauwezi kuwa wa Kisukuma. Labda kama kuna mwingine mgumu wa lala salama.
Hyundai 😀😀😀 kisahani kinasogea 220 tuAisee uko na chombo gani inapepea namna hio?
Au sio?Hivyo ni ziada tuu vya muhimu vyote vishawekwa!