Usisahau kunitag location, nina bill yako hapa ya Hennessy tatu kama utamaliza 😋🥂Jioni nitakuwa mjini napiga vyombo
There must be a legend somewhere hana habari km shule inaendelea anagutuka siku ya mtihaniHii ni 4th weekwatu wako ghetto ni msuli bed tu
sasa ngoja ifike 7th week ukifika saa 1 hupati seat
View attachment 2020000
There must be a legend somewhere hana habari km shule inaendelea anagutuka siku ya mtihani
View attachment 2020569


huyo wa mwisho ni too muchKumbe unapajuaMafiat hionjia panda ya kwenda mwanjelwa, uhindini na iyunga
![]()
Na nishawah piga picha hapoKumbe unapajua
Chaaaah!Usimle kimasihara sasamaana hawa watu kwa vyipsi ni balaa
manzese kila chocho ni machinjio tu
![]()



Kwani jamaa anaishi katikati ya barabara huyo😅 hebu acha utoto basi!Chaaaah!
Tunapeana earpods tu..
Tena katikati ya barabara,kwenye stand ya mwendokasi![]()
Mimi nashuka katikati ya barabara,ananipa,tunaselfika ,naondoka hapohapo katikatiKwani jamaa anaishi katikati ya barabara huyohebu acha utoto basi!

Geto lazma ufike bwana wadaslam ni wakarimu 😅Mimi nashuka katikati ya barabara,ananipa,tunaselfika ,naondoka hapohapo katikati![]()
Wadaslam siyo wakarimu hata kidogo.Geto lazma ufike bwana wadaslam ni wakarimu![]()

Iweke basi tuone jiji letuNa nishawah piga picha hapo