Unaongea kama vile Kilingeni ulikuwa ....Tuheshimu nafsi za watu,inanifaa nini kuuwa mtu kwa kitu ambacho sina guarantee ya kuki-maintain hata miezi miwili ijayo?![]()




Utanenepa kama kifutu!
YaaniUtanenepa kama kifutu!
ulaji gani huu!!?
,nataka ninenepe,umbau mbau naukataa
Ndugu yangu. Mambo yalibumburuka pale bustani ya Eden na li Abeli kumuua nduguye Kaini baadaye. Tangu hapo ni kizaazaa tu kuanzia vitani huko mpaka kutoana roho kwa mtu mmoja mmoja hata kwa sababu za kijinga ajabu. Na kwa wanasiasa hawa uchwara kukolimbana (kwa waziwazi au kurogana) wala siyo jambo la kushangaza.Kwa anaethubutu kumuuwa mtu kwa sababu zozote zile,I mean zozote zile kama ni kuchukuliana wake au sijui kudhulumiana pesa au kunyang'anyana vyeo iwe yoyote ile inampasa kujua kwamba furaha yake haitoletwa kwa kumtoa yule anayemchukia duniani,tujifunze kuishi katikati ya maadui zetu!
Yeye ameondoka ila duniani wapo watu kuishi kwao walitegemea uwepo wa huyu mtu,watoto walitegemea Baba yao awaletee chakula kama wanao wanavyokutegemea wewe,awalipie school fees kama unavyofanya wewe,Baba/Mama yake pengine ni wazee sana tayari wana maradhi sugu yanayotaka pesa kununua dawa na ilikuwa zitoke kwa huyu marehemu sasa hawazipati ni wengi huwahitaji wapendwa wao pale wanapofariki hii dunia tunategemeana so kila mmoja wao niliowataja atakapokosa huduma atamkumbuka huyu mtu na kila anapomkumbuka nafsi yake huugua na kila atakapoumia machozi yake hulipwa directly kwa muuwaji kwa njia mbalimbali ambazo anaweza azione au asizione hili huwa kama fumbo na hutembea na kizazi cha muuwaji.
Tuheshimu nafsi za watu,inanifaa nini kuuwa mtu kwa kitu ambacho sina guarantee ya kuki-maintain hata miezi miwili ijayo?maana hata kama nitachukua pesa je nikifa kesho then zitanisaidia nini?kazi?je nikifukuzwa?tamaa ya mali nikiondoka mwaka mmoja baada ya kuuwa nitaondoka nazo kiasi gani?
Inasikitisha?Mungu Mwenyezi amrehemu apate pumziko la milele.
Mirinda nyeusi ya baridi na chips hizo mjukuu. Utamu wake si wa dunia hii



Huo mkono unaonekana umenenepa tayari
Yaani utamu wake,hauelezeki babuMirinda nyeusi ya baridi na chips hizo mjukuu. Utamu wake si wa dunia hii![]()


UmejuajeHuo mkono unaonekana umenenepa tayari


Fanya urudi mkoa sasa...Umejuaje
Dar kutamu jamani
Baadhi ya ngua naona zinanikataa
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app

Weeeeh msimu wa kuandaa mashamba huuFanya urudi mkoa sasa...![]()

Shilatū sha ngosha omagaka. Nzagamba ya Ntuzu!



Ukizoea raha za Dar utakuja ushindwe kwenda kulima ohoo!Weeeeh msimu wa kuandaa mashamba huu
subiri kwanza
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Ukizoea raha za Dar utakuja ushindwe kwenda kulima ohoo!



hakuna raha dar babu

Sikatai hata advance pia kna mpare alituburuza vilivyo, akatoka na 1 ya 4, yuko UDSM telecommunications engineering.Ndio shughuli zetu hizo![]()



Usjar ntakupa.Halafu juzi niliomba picha za kina Vee na Rotimi za sasahivi kwenye uzi wako fulani hivi.