Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Chagua chochote ,ofa ya wiki nzima hiiNdio mpira huo!
Sema hapo kwenye kudai chochote, kuwa makini we mnyaki!
Liverpool baba lao

Chagua chochote ,ofa ya wiki nzima hiiNdio mpira huo!
Sema hapo kwenye kudai chochote, kuwa makini we mnyaki!

Maths pekee niliyo enjoy ni ya Primary.
Mkuu nilijaribu kukuchungulia sikukuonaNaona umeamua kuwa mtu wa kunirudha roho sasa![]()
Mnapiga bomu mochwari halafu mnajisifu mmeua..aseno hamna kitu muleChagua chochote ,ofa ya wiki nzima hii
Liverpool baba lao![]()
Ukasubiri vipi na ulikuwa kwenye usafiriMkuu nilijaribu kukuchungulia sikukuona
Nikasubiri labda utaona comment yangu huku,bahati mbaya haukuona ,,hadi muda wa kuondoka ukafika.
Mwanitesa ndio hakuna kitu SquareMnapiga bomu mochwari halafu mnajisifu mmeua..aseno hamna kitu mule
#LFCUkasubiri vipi na ulikuwa kwenye usafiri
Mtakatifu umenishinda tabia
Karibu tena siku nyingine
Nilishuka.Haha hapa ni Sangu Sec? Hivi kuna shule huko mbeya inatandika wanafunzi mikwaju kama Swila Sec?
Swila hakuna fimbo za kuogopesha mbona.
Top three ya fimbo ni Ivumwe,Itende na Loleza
Shule kama jehanam vile!
Uwata nao walikuwa moto,,kufukuzwa shule ni dakika sifuri tu.
Sasa nikiachia na macho si ndo mtaona jisura mkuu?Jiachie na macho pia muda huu ni usiku ,hakuna watu wengi,tupo wawili tu Mzigua



Ilikua ndo lengo bana.Sasa nikiachia na macho si ndo mtaona jisura mkuu?![]()
Lengo muone sura? Mbona natumaga mara kibao nakata machoIlikua ndo lengo bana.
Hivi huko shuleni tulisomaga mambo ya domain and range?Maths pekee niliyo enjoy ni ya Primary.
Yalipoanza mambo domain, range na logarithms... Nikaiweka Maths pembeni
Leo ndio mara ya kwanza naona yako,unashawishiLengo muone sura? Mbona natumaga mara kibao nakata macho
Mikanda kawaida yenu wana wa uboyziniUnaiacha wapi iyunga kule unakula hadi Mikanda toka kwa viongozi






Dota huyu dogo hamjui babako, anataka nidai chochote! Hayuko serious kabisa
Pops mbona una kichwa kibovu lakini


Manchester aka mazuzu fc
Nashabikia timu za kibabe dogo
YNWA
#LFCforlife
#Thereds



unaijua jiji la Manchester? Sio muungano wa Manchester, Pool tableView attachment 2018091



hayo madirisha km shule fulan kongwe ya serikali, nlisoma hapo O level, mweeeeh