geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,227
kuna kipindi kila location ulikua unaijuaMmh hata sijui![]()




......mlimani city hapa
kuna kipindi kila location ulikua unaijuaMmh hata sijui![]()




......🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jina na profile tofaut na ulivyo,
Hebu badlisha bhana lol.
nina kitambi kikubwa tu muulize Saint Anne
Labda tuseme wembamba unatusaidia kuonekana viuno nyigu. Ila ndambi imoo.
Hupost vidole? Au napo utasema viko kama tangawizi![]()
Mimi nipo mwembamba na shepu yangu inayoelekea namba 9 ila napost tu hivyohivyo .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbwa alipona?Sasa huyo mamba tu unaogopa?
Katika pitapita tulikuta chatu amembana mbwa, nilirekodi video ni kubwa siwezi share...
Yule mbwa ili kumuokoa ilibidi tuanze ku deal na chatu, later huyo jamaa akaja na panga akamchinja chatu... same day nikakutana na mamba.. hio place kuna kenge,chatu na mamba...
View attachment 2003003
Poa poa mwanangu, nakuona uko kwa kina Pharaoh.Niaje niaje mwanangu??
Mmhh kila locationkuna kipindi kila location ulikua unaijua......
mlimani city hapa


Dah yaani wewe ,sijui nikutukane.
Umeona eeeeheee...... Yaani ni mcute huyo mwanadada😂 the beautiful girl Depal, humu ndani tusichukuliane poa , kuna pisi kali balaa
Mkuu hii ni background au ni kweli ulikuwa kwenye mapiramid Kwa farao huko?
Dah huyu ni Mimi kabisa- japo hatupendagi kuumiza mtu, hapo tutakurembaremba mpaka tukuache ukiwa salama.
Mimi ni June 15- wewe?
📌📌📌nilijua niko hiyo hali inatokea kwangu tu.Dah huyu ni Mimi kabisa- japo hatupendagi kuumiza mtu, hapo tutakurembaremba mpaka tukuache ukiwa salama.
Na vile tunapendeka basi tabu tupu 😅😅😅