Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ulitumia dawa ya kopo au box ?
Huwa unazifanyia Natural steaming ??
Dawa ya kopo

Steaming......Nilifanyiaga mara moja tu kwa majani ya mapera[emoji16]nywele zilinywea balaa vilikuwa vidogo

Tokea hapo sijawahi kufanyia tena,natumia tu mafuta ya nazi ya maji,hivyo nikitumia Mafuta ya mgando kwaajili ya nywele huwa zinakatika Sana.
 
IMG_20211031_212801_2.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Alooo me kuna mpuuzi m1 ningehakikishiwa kwa asilimia zote hakiii nilikuwa nalala nae mbele. Sema tu yule binti alijifanya haoni ile PM mpaka nilipopoa.

Nilisikia eti wana group sijui ka mtandao wakiitaka ni hawaikosi afu at the end wanatafuta mtu wa kumtupia msala kujiswafi.

Shenzi zao.

Wanapoteza tu muda wao ambao wangefanya vitu productive

Ni utoto mno mi sijali hata robo yaani hata wakipata na ya uchi wasambaze tu
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu mimi sijui hata ujasiri wa kunyoa naupataga wapi na hili bichwa langu dah!

Mama kesho nakutafuta nipate Mafuta mazuri[emoji7],,,,kuna ambayo nilitafuta naona yameisha...somehow yamenisaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Karibu kipenzi
 
Back
Top Bottom