Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Katakata mabamia loweka kidogo na maji. 'Sikumbuki kama yanachemshwa or not.

Ila ule utelezi jau [emoji23] thoe nywele ilieleweka na nilipata mara 2 tu.
Oooh ahsante,nitafanya maana raia wananiambia upele unamuota asiye na kucha[emoji16]nataka nianze kuwekeza kwenye nywele[emoji2902][emoji2902][emoji2902]
 
Ahsante,,,ya bamia unatumiaje?,nielekeze
Mahitaji
[emoji261]Bamia kumi (10)
[emoji261]Mafuta ya maji (African Black castor oil au coconut oil au olive oil)
[emoji261]Juice ya Tangawizi
[emoji261]Asali

Jinsi ya kuandaa
[emoji263]Osha bamia zako vizuri kuondoa uchafu wote
[emoji263]unaweza kukata kata kuwa vipande vidogo vidogo au ukamenya tu (kuexpose undani wake)
[emoji263]Weka kwenye sufuria yako safi
[emoji263]Ongeza maji kiasi (kikombe kimoja au viwili vinatosha) na ufunike
[emoji263]Chemsha kwa dakika 10 hadi 15 mpaka ile gelly au ute wa bamia uwe umetoka wa kutosha
[emoji263]Epua na uache ipoe kwa dakika kadhaa
[emoji263]Baada ya hapo chuja kuondoa vipeke na upate gelly tuu

Kama unatengeneza steaming
[emoji263]chukua ute ulioupata gawanya mara mbili
[emoji263]Nusu ya kwanza changanya na tangawizi na asali na mafuta yoyote ya kimiminika (hasa Castor oil)
[emoji263]Baada ya kuosha nywele kwa shampoo (hakikisha nywele zako ni safi) paka mchanganyiko kwenye nywele zote
[emoji263]Vaa shower cap au steamer na ukae kwa dakika 30+
[emoji263]Osha kwa maji mengi
[emoji263]Chukua ule mchanganyiko uliobaki changanya na mafuta kijiko kimoja hapa utakua umepata leave in conditioner
[emoji263]Nywele zako zikiwa mbichi na safi pakaa vizuri kuanzia kwenye ngozi hadi kwenye ncha.
[emoji263]Chambua vizuri nywele zako kidodgo kidogo kuhakikisha imeingia vizuri kwenywe nywele zote.
[emoji263]Unaweza kusuka mabutu (bantu knots) au twists za njia mbili au tatu au nywele za mistari kawaida nywele lazima ziwe na unyevu kabisa.
[emoji263]Ukiona zinakauka unanyunyiza maji tena.
[emoji263]Ukimaliza acha zikauke vizuri utaendelea kupaka mafuta yako kama kawaida ili kuzifanya zing’ae.
[emoji263]Ukifumua unapata mawimbi mazuri unaweza kubana utakavyo nywele zako.
 
Mahitaji
[emoji261]Bamia kumi (10)
[emoji261]Mafuta ya maji (African Black castor oil au coconut oil au olive oil)
[emoji261]Juice ya Tangawizi
[emoji261]Asali

Jinsi ya kuandaa
[emoji263]Osha bamia zako vizuri kuondoa uchafu wote
[emoji263]unaweza kukata kata kuwa vipande vidogo vidogo au ukamenya tu (kuexpose undani wake)
[emoji263]Weka kwenye sufuria yako safi
[emoji263]Ongeza maji kiasi (kikombe kimoja au viwili vinatosha) na ufunike
[emoji263]Chemsha kwa dakika 10 hadi 15 mpaka ile gelly au ute wa bamia uwe umetoka wa kutosha
[emoji263]Epua na uache ipoe kwa dakika kadhaa
[emoji263]Baada ya hapo chuja kuondoa vipeke na upate gelly tuu

Kama unatengeneza steaming
[emoji263]chukua ute ulioupata gawanya mara mbili
[emoji263]Nusu ya kwanza changanya na tangawizi na asali na mafuta yoyote ya kimiminika (hasa Castor oil)
[emoji263]Baada ya kuosha nywele kwa shampoo (hakikisha nywele zako ni safi) paka mchanganyiko kwenye nywele zote
[emoji263]Vaa shower cap au steamer na ukae kwa dakika 30+
[emoji263]Osha kwa maji mengi
[emoji263]Chukua ule mchanganyiko uliobaki changanya na mafuta kijiko kimoja hapa utakua umepata leave in conditioner
[emoji263]Nywele zako zikiwa mbichi na safi pakaa vizuri kuanzia kwenye ngozi hadi kwenye ncha.
[emoji263]Chambua vizuri nywele zako kidodgo kidogo kuhakikisha imeingia vizuri kwenywe nywele zote.
[emoji263]Unaweza kusuka mabutu (bantu knots) au twists za njia mbili au tatu au nywele za mistari kawaida nywele lazima ziwe na unyevu kabisa.
[emoji263]Ukiona zinakauka unanyunyiza maji tena.
[emoji263]Ukimaliza acha zikauke vizuri utaendelea kupaka mafuta yako kama kawaida ili kuzifanya zing’ae.
[emoji263]Ukifumua unapata mawimbi mazuri unaweza kubana utakavyo nywele zako.
Ahsante Sana,ubarikiwe naanza kazi[emoji120]
 
Mahitaji
[emoji261]Bamia kumi (10)
[emoji261]Mafuta ya maji (African Black castor oil au coconut oil au olive oil)
[emoji261]Juice ya Tangawizi
[emoji261]Asali

Jinsi ya kuandaa
[emoji263]Osha bamia zako vizuri kuondoa uchafu wote
[emoji263]unaweza kukata kata kuwa vipande vidogo vidogo au ukamenya tu (kuexpose undani wake)
[emoji263]Weka kwenye sufuria yako safi
[emoji263]Ongeza maji kiasi (kikombe kimoja au viwili vinatosha) na ufunike
[emoji263]Chemsha kwa dakika 10 hadi 15 mpaka ile gelly au ute wa bamia uwe umetoka wa kutosha
[emoji263]Epua na uache ipoe kwa dakika kadhaa
[emoji263]Baada ya hapo chuja kuondoa vipeke na upate gelly tuu

Kama unatengeneza steaming
[emoji263]chukua ute ulioupata gawanya mara mbili
[emoji263]Nusu ya kwanza changanya na tangawizi na asali na mafuta yoyote ya kimiminika (hasa Castor oil)
[emoji263]Baada ya kuosha nywele kwa shampoo (hakikisha nywele zako ni safi) paka mchanganyiko kwenye nywele zote
[emoji263]Vaa shower cap au steamer na ukae kwa dakika 30+
[emoji263]Osha kwa maji mengi
[emoji263]Chukua ule mchanganyiko uliobaki changanya na mafuta kijiko kimoja hapa utakua umepata leave in conditioner
[emoji263]Nywele zako zikiwa mbichi na safi pakaa vizuri kuanzia kwenye ngozi hadi kwenye ncha.
[emoji263]Chambua vizuri nywele zako kidodgo kidogo kuhakikisha imeingia vizuri kwenywe nywele zote.
[emoji263]Unaweza kusuka mabutu (bantu knots) au twists za njia mbili au tatu au nywele za mistari kawaida nywele lazima ziwe na unyevu kabisa.
[emoji263]Ukiona zinakauka unanyunyiza maji tena.
[emoji263]Ukimaliza acha zikauke vizuri utaendelea kupaka mafuta yako kama kawaida ili kuzifanya zing’ae.
[emoji263]Ukifumua unapata mawimbi mazuri unaweza kubana utakavyo nywele zako.
Process ndio ndefu hivi? Me nilimix bamia na maji tu.

Nikipata muda nitajaribu..
 
Hapo bamia ilisaidia dia.

Mimi mvivu sana kushughulika na nywele, hizo ulizoona hapo nimezikata mwezi ulioisha mwishoni.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]duuuh umekata!!!

Huwa natamani kunyoa,lakini nikiwaza jinsi ya kuanza kusuka vikiwa vidogo,naishiwa pozi

Hizi zangu zina miaka miwili,nimezipunguza mara moja
 
🧚‍♀️
1AFCB38E-DD53-4764-A4DE-CC04FCCE76D9.jpeg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Alooo me kuna mpuuzi m1 ningehakikishiwa kwa asilimia zote hakiii nilikuwa nalala nae mbele. Sema tu yule binti alijifanya haoni ile PM mpaka nilipopoa.

Nilisikia eti wana group sijui ka mtandao wakiitaka ni hawaikosi afu at the end wanatafuta mtu wa kumtupia msala kujiswafi.

Shenzi zao.
Dunia ina mambo hii jamani!! Watuhumiwa nao wanatuhumu wengine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji2216][emoji2216][emoji2216][emoji2216][emoji2216][emoji2216]
 
Back
Top Bottom