Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hebu acha kukata tamaa kizembe namna hiyo😑😑😑 goodnight.
Wengine wanataka tuwe natural ili kupunguza competition .wanasingiziaga urembo wa asili kumbe hawataki kutoa fweza ya wigi
jamani
Yana wenyewe hayoHahaha umenikumbusha kitu , wakati nasoma chuo nilikuwa mvaa mawigi sana ,
Ile naingia kwenye dala dala baada ya kutoka kwenye vipindi najilaza huyo natoa wigi maana sio kwa joto hilo ,mtu anabaki kushangaa nini hichi.
,ukipishana sasa mmmmh😎😎 paff paff pass...Usiku mwema.View attachment 1993973
Sasa unaongea
Ooh pole ,style gani hiyo ?
kwa hili joto la Dar nywele kukaa nazo ni shughuli pevu

Hayo ndo maneno sasa.darling Jack PalladinoNilishaiona na nikaijibu.
Ananizingua sana aisee,,ngoja na mimi nimpandishe cheo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
AseeeeUsiku mwema.View attachment 1993973
Hivi mlikuwa mnaongelea uzi gani uliofutwa?Nasubiri picha ifunguke![]()


Safi👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿
Hahaha kweli kabisaYana wenyewe hayo,ukipishana sasa mmmmh
..Binafsi navutiwa mno na mdada mwenye short hair halafu mweusi.nimekuwa mkweli kwakweliYaani roho inamuuma mwingine mimi kunyoa
Anasema ww nawe bwana,unakuwa kama siyo mdada,tusuke shoga yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna dada alishadondosha wigi kwenye mlango wa kuingia lecture roomHahaha umenikumbusha kitu , wakati nasoma chuo nilikuwa mvaa mawigi sana ,
Ile naingia kwenye dala dala baada ya kutoka kwenye vipindi najilaza huyo natoa wigi maana sio kwa joto hilo ,mtu anabaki kushangaa nini hichi.




Ili nikamsifu MUNGU jumla jumlaMbona utawaa![]()





Na hivi uko dasalama![]()


