Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,498
- 235,199
Hebu acha kukata tamaa kizembe namna hiyo😑😑😑 goodnight.
Wengine wanataka tuwe natural ili kupunguza competition .[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419] wanasingiziaga urembo wa asili kumbe hawataki kutoa fweza ya wigi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]jamani
Yana wenyewe hayo[emoji41],ukipishana sasa mmmmhHahaha umenikumbusha kitu , wakati nasoma chuo nilikuwa mvaa mawigi sana ,
Ile naingia kwenye dala dala baada ya kutoka kwenye vipindi najilaza huyo natoa wigi maana sio kwa joto hilo ,mtu anabaki kushangaa nini hichi [emoji1787].
😎😎 paff paff pass...Usiku mwema.View attachment 1993973
Sasa unaongea
[emoji1]Ooh pole ,style gani hiyo ?
kwa hili joto la Dar nywele kukaa nazo ni shughuli pevu
Hayo ndo maneno sasa.darling Jack PalladinoNilishaiona na nikaijibu.
Ananizingua sana aisee,,ngoja na mimi nimpandishe cheo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
AseeeeUsiku mwema.View attachment 1993973
Hivi mlikuwa mnaongelea uzi gani uliofutwa?Nasubiri picha ifunguke[emoji849]
Safi👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi kumbe ninatako ee[emoji16][emoji16]safi.
Hahaha kweli kabisa [emoji1787]..Yana wenyewe hayo[emoji41],ukipishana sasa mmmmh
Binafsi navutiwa mno na mdada mwenye short hair halafu mweusi.nimekuwa mkweli kwakweliYaani roho inamuuma mwingine mimi kunyoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anasema ww nawe bwana,unakuwa kama siyo mdada,tusuke shoga yangu[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna dada alishadondosha wigi kwenye mlango wa kuingia lecture room[emoji23][emoji23]Hahaha umenikumbusha kitu , wakati nasoma chuo nilikuwa mvaa mawigi sana ,
Ile naingia kwenye dala dala baada ya kutoka kwenye vipindi najilaza huyo natoa wigi maana sio kwa joto hilo ,mtu anabaki kushangaa nini hichi [emoji1787].
Ili nikamsifu MUNGU jumla jumla[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona utawaa[emoji1787][emoji1787]
[emoji23]Na hivi uko dasalama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo ndo maneno sasa.darling Jack Palladino
Wea a yu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Safi[emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534]