Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Nimekumiss pia Ely.. Ahsante..Vizuri sana kama ni nzuri dada mpendwa
Za uzima njema/salama kabisa
Nimekumiss mkuu
Salama zao wote huko..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekumiss pia Ely.. Ahsante..Vizuri sana kama ni nzuri dada mpendwa
Za uzima njema/salama kabisa
Nimekumiss mkuu
Ahsante Mpendwa wangu..

Alisoma Mwakaleli high school
Shule ya kilegendary sana,kufika tu shule ni shughuli
Wakaanza kuopoa mabegi kwenye mto,
Sasa huyo kaka yako na shati lake jeupe yaani nawaza atafikaje Mwakaleli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli uje ule wale kuku na unywe kile kinywaji chako pendwaAhsante Mpendwa wangu..
Nitakaribia.. Anytime.Nije nile wale Kuku mimi
Sent using Jamii Forums mobile app

Heaven SentJamani, wenzetu wamesoma kwa kuteseka sana
Kumbe upo Bariadi njoo hapa sungwa kingdom tupige vinywaji.
Hii Weekend ni hiviHii weekend ya leo; imekuwa ya moto sana jamani



HS...
Ooh!!upo SUNGA KINGDOM HOTEL kumbeKumbe upo Bariadi njoo hapa sungwa kingdom tupige vinywaji.
Kwa kweli uje ule wale kuku na unywe kile kinywaji chako pendwa![]()






Amina mpendwa
Acha kabisa kipatikane na cha kutumia njiani
Mungu atufanyie kheri tu Ely..
Sent using Jamii Forums mobile app

Aje nimsindikize kabisaHii Weekend ni hiviHS...
Ukaribie na wewe jamani..
ERoni atakupa code
Sent using Jamii Forums mobile app

Hii Weekend ni hiviHS...
Ukaribie na wewe jamani..
ERoni atakupa code
Sent using Jamii Forums mobile app
Aje nimsindikize kabisa![]()