Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna mnaa mmoja alisambaza picha zangu Kwenye groups zao huko


Sijui aliingiza shilingi ngapi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Alooo me kuna mpuuzi m1 ningehakikishiwa kwa asilimia zote hakiii nilikuwa nalala nae mbele. Sema tu yule binti alijifanya haoni ile PM mpaka nilipopoa.

Nilisikia eti wana group sijui ka mtandao wakiitaka ni hawaikosi afu at the end wanatafuta mtu wa kumtupia msala kujiswafi.

Shenzi zao.
 
Oh

Mimi na wigi ni maji na mafuta.
Yaani nina phobia na wigi,,ni heri nifunge kitambaa kuliko kuvaa wigi kichwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha umenikumbusha kitu , wakati nasoma chuo nilikuwa mvaa mawigi sana ,
Ile naingia kwenye dala dala baada ya kutoka kwenye vipindi najilaza huyo natoa wigi maana sio kwa joto hilo ,mtu anabaki kushangaa nini hichi .
 
Ntapita wapi na hichi kichwa?

Wengine tuna sura za baba mawigi angalau yanaturudisha kwenye ramani

Halafu mimi sijui hata ujasiri wa kunyoa naupataga wapi na hili bichwa langu dah!

Mama kesho nakutafuta nipate Mafuta mazuri,,,,kuna ambayo nilitafuta naona yameisha...somehow yamenisaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom