Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haya tusubiri picha hiyo kesho
hair spray huwa zinasaidia kiasi ...

Changamoto kweli , kwa mfano ukisuka vitunguu unapendeza balaa ila maumivu sasa .
Vutunguu sijui nitasuka lini tena,
Nadhani hadi Yesu ashuke.


Spray ninayo,
Huwa napuliza kipilipili changu nikishakichana.
Kinang'aa kama sio kipilipili.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dada alishadondosha wigi kwenye mlango wa kuingia lecture room
Yaani enzi hizo first year siku za mwanzo,Watu wanaona sifa kuwahi kuingia ..naye yupo anagombania kuwa wa kwanza ..Aisee Watu walivuta wigi ,ndani ana tumabutu kichwani kama tu nzi


Sent using Jamii Forums mobile app

Dah jamani ,
mawigi mazuri ni yale ambayo unaweza bana kwa chini , unakuwa huru kidogo ..
 
Back
Top Bottom