Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Njoo tuchome Kuku Anne😋
Nitamleta though bado hujanipa Location. Niambie nimlete wapi umpendezeshe arudie Umwali wake?😜mbona utamfurahia ukimuona. We mlete, hakunaga mkate mgumu mbele ya chai.....
Nifanye niwe begi lako, tuwe tunaenda kokote unapokwenda 🙊🏃🏻🏃🏻View attachment 1992150
Mizuruloo
Nao wi a toking




Nifanye niwe begi lako, tuwe tunaenda kokote unapokwenda![]()




Bahati iliyoje hii, naomba mwanasheria atuandikie Mkataba wa kutuunganisha please.Mimi mwenyewe nataka niwe begi la mtu![]()
Mimi kufuga ni mtihani kwa kweli, bora kubandika tu. Natural zikiwa ndefu kbs, wanazitengeneza vzr tu.
Utahangaika sana ila kwangu utabakia kuwa Makiseo tu hata ufanyeje





Na si ajabu wanafanana fanana hivi hiviHii avatar yake ilitisha sana…



Toa huo msaa watazamaji tuangalie kama gonjwa zetu zipo 😂
Toa huo msaa watazamaji tuangalie kama gonjwa zetu zipo![]()



Na si ajabu wanafanana fanana hivi hivi![]()