Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20210914_135900.jpg
 
Nilikuwa nimesoma kwa papara
Ikabidi nisome kwa umakini, na ndipo nilipokutana na statement hii "asili ya ki Asia". 😂😂
Isingekuwa hivo, aidha usingesimulia siku ya leo au ungesimulia viceversa
Hapana, 1st born my brother ana mke mzungu..

Brother yangu anayefuata kaangukia kwa mwanamke wa Egypt..

Huyo sasa na mke wake wa Asia, ndiye namfuata, kaenda kule kule kwa pua ndefu

😁😁
Nime refer huo mfano ili kujenga picha kwamba japo alikuwa mtu wa asia lakini ali vumilia, kitu ambacho hata mimi nilishangaa, nilikuwa sina maana yeyote... Which means wanawake wenye true love wapo...

So nikitolea mfano hasa masuala ya kimahusiano mostly lazima nitatolea/nita refer kwa hawa ndugu zangu , nimejifunza vingi toka kwao, so lazima nitatoa mfano wa mzungu,arab na huyo Asian, haina maana angekuwa mtz nisingesema, NO.
 
Christmas utakula huko unapounga mkono 😆😆😆😆

On a serious note though....People don't fall in love with status but they do FOLLOW status. Na ndio maana inapobadilika mtu anaondoka.
😁😁😁
Finally sababu ya kuni trim umeipata, I think upo happy sana..

Ngoja nipambane na hali yangu
🏃🏃🏃
 
Sasa and 100 others if I didn't care about what you could do for me why would I even consider being with you???

Binadamu wote tuna ubinafsi ndani yetu....both men and women PERIOD!!! Tofauti ni kile tunachotafuta! I mean we mwenyewe mpaka um-vet mtu kwa kiwango hicho ni vile you want something from her. Be it true love...loyalty...companionship...submission...security or whatever.

Mwisho wa yote wote tunatafuta mtu ambae anaweza ku-fulfil maisha yetu one way or another.
Upo sawa, I agree with you🤝
 
Wanawake wa jf napenda kuwaambieni kwamba kila mtu ana urembo kwa level zake.
Lakini ukweli ni kwamba shemeji yenu ananifanya nione wanawake wengine kama wanaume
Mtoto ana figure.
Mtoto ana rangi.
Mtoto ana sura
Mtoto anajua kupika.
Mtoto ana kila sifa ya kuitwa mke wangu.
Mtoto anajua mahaba.
Weeeeee!!!! Nani humu ndani wa hizo level.
Nani mtetezi wenu humu ajitokeze.
Wanawake wa jf hamstui, nawaambieni ukweli.
 
Wanawake wa jf napenda kuwaambieni kwamba kila mtu ana urembo kwa level zake.
Lakini ukweli ni kwamba shemeji yenu ananifanya nione wanawake wengine kama wanaume
Mtoto ana figure.
Mtoto ana rangi.
Mtoto ana sura
Mtoto anajua kupika.
Mtoto ana kila sifa ya kuitwa mke wangu.
Mtoto anajua mahaba.
Weeeeee!!!! Nani humu ndani wa hizo level.
Nani mtetezi wenu humu ajitokeze.
Wanawake wa jf hamstui, nawaambieni ukweli.

 
Back
Top Bottom