Dadeq
Kumbe betting zipo hadi humu..
Ila Pm kuna mengi
KATIKA MATUKIO YOTE YA PM,HAKUNA TUKIO LILINIKATA MAINI KAMA LA KUTONGOZWA NA DADA MSAGAJI TENA NA SELFIKA YUPO.
NILIKEMEA LILE PEPO MWEZI MZIMA![]()







Usiishi kwa woga mtakatifu Anne, kuachwa mbona kawaida tuMambo ya kujiachia ni matamu sana aiseee..
Ila shida yake watu wanasemaga "mtaachana tu"
Siku mkiachana yaani wale wapambe wote wanakuandama
Sent using Jamii Forums mobile app
Men, at their prime, are hunters. They are naturally motivated by a universal (sometimes uncontrollable) primal instinct to spread their male genes to as many partners as possible. This guarantees the survival of their genes to the next generation....Always remember this when you are sexually dealing with any normal male Homo Sapiens!Pale ambapo unakuta mzee baba kwenye kila PM ya mrembo wa selfika, yupo anaimbisha. And he is acting single![]()




Hii kutiana njaa tu..
Usinambie🙊🙊Dadeq😂
😂😂😂😂
Kumbe betting zipo hadi humu..
Ila Pm kuna mengi😂
KATIKA MATUKIO YOTE YA PM,HAKUNA TUKIO LILINIKATA MAINI KAMA LA KUTONGOZWA NA DADA MSAGAJI TENA NA SELFIKA YUPO.
NILIKEMEA LILE PEPO MWEZI MZIMA😂
Usinambie
Btw weka picha nimekumisimo









Jamani oooh ulipotelea angani??mtoto mzuri mawardat nimekumiss
PoleeeHii kutiana njaa tu..
Dadeq
Kumbe betting zipo hadi humu..
Ila Pm kuna mengi
KATIKA MATUKIO YOTE YA PM,HAKUNA TUKIO LILINIKATA MAINI KAMA LA KUTONGOZWA NA DADA MSAGAJI TENA NA SELFIKA YUPO.
NILIKEMEA LILE PEPO MWEZI MZIMA![]()


sawima says....show me your true love then i'll trust ye!Woman says... Show me your bank account and I will trust you
Kuhusu true love hio ondoa shaka 😁 hio utapata na nusu.. nitaku respect, nitakupa care, and i will never hurt you, i will never humiliate you or any form of abuse😁, ujue ku show love sio complicated saana hapo nafaulu, nakuja sasa kwako kukupima true love yako😂 1st of all kwa makusudi initially i will Make things difficult and see if you will stay with me,😂🤣😂 hapo utatoka nduki🏃🏃🏃🏃sawima says....show me your true love then i'll trust ye!
Pole sanaLeo kwetu tunakatiwa umeme balaa kila dakika, sijapata ona hiiiiiiiiiiiiii![]()
Mkono wapi huko niibuke?
You make things difficult! How?Kuhusu true love hio ondoa shaka 😁 hio utapata na nusu.. nitaku respect, nitakupa care, and i will never hurt you, i will never humiliate you or any form of abuse😁, ujue ku show love sio complicated saana hapo nafaulu, nakuja sasa kwako kukupima true love yako😂 1st of all kwa makusudi initially i will Make things difficult and see if you will stay with me,😂🤣😂 hapo utatoka nduki🏃🏃🏃🏃
Nimekupa Siri tu lakini wanawake ninavyowafahamu huo mtihani kufeli ni 99% wanaume wenzangu wananielewa
Suala la msosi ni ugali mboga za majani, tukila vizuri saaaana ni ubwabwa maharagwe😂😂, nyama w'end 2 per month.You make things difficult! How?
Pole haisadii, nitumie huo msosi..Poleee
Suala la msosi ni ugali mboga za majani, tukila vizuri saaaana ni ubwabwa maharagwe😂😂, nyama w'end 2 per month.
Tunapanga uswahilini
Lotion ya bei nafuu, American dream utakuwa unaisikia tu😁
Kusuka kwa bei nafuu once per month
Ukiniomba pesa nakusubirisha siku 3.
Out ni kwenda beach😂 kupunga upepo na kurudi..
Shopping ni nguo za bei nafuu kwenye mnada
Maisha yatasonga kwa miezi mi 3😁, siku moja natoka kazini nakuta kufuli inanizomea, kufungua kuna kikaratasi mezani babe maisha yamenishinda, hata ngozi yangu imefubaa, nimeamua tuachane..... 😥
Tayari umefeli mama😂