100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 8,778
- 30,795
Thanks a lot, sasa andaa basi bei ya wanaselfika😁, wape discountWanaselfika tumewafungulia DUKA la vyombo karibuni mniungishe vyombo vizuri vya kisasa
View attachment 1988494
Thanks a lot, sasa andaa basi bei ya wanaselfika😁, wape discountWanaselfika tumewafungulia DUKA la vyombo karibuni mniungishe vyombo vizuri vya kisasa
View attachment 1988494
Bei ni sawa na bure mimi kabisa na kwa wakazi wa dar mzigo unafika adi mlangoni kwakoThanks a lot, sasa andaa basi bei ya wanaselfika, wape discount
😊Mbona ni kama mabaya yote umeyasokomezea kwa wanawake kana kwamba wanaume ni innocent? Kwahiyo unataka kusema kwamba wanaume ndiyo wana mapenzi ya kweli na kwamba wao hawademand vitu vingi toka kwa wanawake?
Satisfaction by Rolling stones.
Asante kwa ushauri ubarikiwe.Ni hatari kwa afya yako.
Wanajiona nani Sijui!Si ndio hapo sasa. Mungu atupime na binadamu nao tuanze kupimana kisa ndoa yaani mtu anataka kufanya ndoa kama ufalme wa mbinguni.
Hahahhaa nitakuja na mimi kumpa maazimio kabisa, asije akanizaa
Kwanza wamewapanga wasichana utadhani DJ anavyopanga ngoma za kupiga club(kwa sauti ya Chakorii )Mbona ni kama mabaya yote umeyasokomezea kwa wanawake kana kwamba wanaume ni innocent? Kwahiyo unataka kusema kwamba wanaume ndiyo wana mapenzi ya kweli na kwamba wao hawademand vitu vingi toka kwa wanawake?

Asante kwa ushauri ubarikiwe.
,Yaani umasikini unafanya Watu waone kuvumilia shida ni sifaHehe yaani Africa ndiyo bara pekee ambalo kipimo cha wife material ni kuvumilia shida

Uanze kwanza kwa kumpa maagizo P, asijekuwaingiza watu mjini.
View attachment 1988645
Mie ndio tumemaliza kikao cha dharura na mkono.
Haha kuna picha niliona ati lion anampat deer kwa shingo. Ndiyo wewe unachojaribu kufanya hapa.
Beki kisiki 😂😂😂HALIMAGWAYAView attachment 1988666
Magomeni ?