Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Achana na hii ya kuigiza kuwa upo singo, kesho married, kesho kutwa divorced; ila nje unajua mipaka yako. Unakuta mtu kaoa kabisa, ila kutwa kuwinda wadada PM akijifanya singo, na vikitiki anatoka nao kabisa. Au wale wanaofanya trial and error kwenye PM; anaweka mkeka kwenye PM za wadada, utakapotick ni hukohuko. So wewe unajua ni baby wako tu, kumbe ni baby wa wote watakaotick.

 
Hata mimi kuna wakati nakuwa singali kuna wakati nakuwa dabo mule mule inategemea niko mazingira gani tunaishi nao.kiukweli niko singo jaman

giphy.gif
 
Hata mimi kuna wakati nakuwa singali kuna wakati nakuwa dabo mule mule inategemea niko mazingira gani tunaishi nao.kiukweli niko singo jaman 🤣🤣🤣
Na mimi ngoja nianze kuchange according to mazingira,
jukwaani hapa selfika nipo dabo,,pm watu wanakuja kuniuliza kama kweli nipo dabo,,,kuna muda nawajibu nipo dabo kweli,kuna muda nawaambia nipo singo.
Sitabiriki yaaani....tutapigana tu kamba jamani huko pm😀
 
Wewe sema tu kweli, usije ukapishana na muujiza wako. Kuna gentleman nimemsukumia huko PM kwako
Na mimi ngoja nianze kuchange according to mazingira,
jukwaani hapa selfika nipo dabo,,pm watu wanakuja kuniuliza kama kweli nipo dabo,,,kuna muda nawajibu nipo dabo kweli,kuna muda nawaambia nipo singo.
Sitabiriki yaaani....tutapigana tu kamba jamani huko pm😀
 
Achana na hii ya kuigiza kuwa upo singo, kesho married, kesho kutwa divorced; ila nje unajua mipaka yako. Unakuta mtu kaoa kabisa, ila kutwa kuwinda wadada PM akijifanya singo, na vikitiki anatoka nao kabisa. Au wale wanaofanya trial and error kwenye PM; anaweka mkeka kwenye PM za wadada, utakapotick ni hukohuko. So wewe unajua ni baby wako tu, kumbe ni baby wa wote watakaotick.
Dadeq😂
😂😂😂😂

Kumbe betting zipo hadi humu..

Ila Pm kuna mengi😂
KATIKA MATUKIO YOTE YA PM,HAKUNA TUKIO LILINIKATA MAINI KAMA LA KUTONGOZWA NA DADA MSAGAJI TENA NA SELFIKA YUPO.
NILIKEMEA LILE PEPO MWEZI MZIMA😂
 
Afadhali mmewauza. Mlisumbua saaana.
Mlimufanya dada yangu Shadeeya asiwe na amani

Mwaka huu atanenepa kwa raha anazopata kwa Feston Mayele, akikosa mwaka huu ndiyo basi tena, Mwakani Simba tunamrudisha tena Chama pamoja na Kumsajili Mayele ili kumpokea Bocco aliyepoteza makali.
Sasa tusemeje jamani
Mmefungwa tena kizembe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Tumekubali kufungwa, but tunajipanga kwenye Shirikisho
 
Back
Top Bottom