NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Mtakatifu mwandiko wako unaonesha mtu akisema suu unayabwaga bwaaa😄😄
Kweli umemenena vizuri .
Hata ningekuwa mimi nisingeweza kutaja.
Mambo ya kumtangaza mtangaza mtu baadaye kitumbua hutiwa mchanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupenda mtakatifu unakaubishi kako hivi hatari sana🤣🤣🤣
Najua huwezi mtaja..
Usimtaje tu..
Siwezi kukushauri ufanye jambo ambalo hata Mimi linanishinda.
Ila nakuja pm kuona picha full ukiwa Nairobi
Sent using Jamii Forums mobile app
Una goma lakni shemeji wa kienyejiKaribu karanga za kienyejiView attachment 1987089
📌📌📌Well said .
Privacy ni muhimu
ChanguUna goma lakni shemeji wa kienyeji
Mama mchungaji usitufanye tukamwagiana maji ya moto kwenye mwandiko ujue😁😁Mimi ngoja nimtaje wa kwangu; kama anakujaga PM kwenu kuwadangia mniambie.![]()
LeeChangu
Namtaja muda sio mrefu. Ole wakeeee
Nyie mimi nimekumbuka kumbe tayari nilishamtaja,
Ni Palladino jamani,,,kama kuna mchepuko wake huko utapambana na hali yake
Wako ni yupi?
isije kuwa ashanipiga verse pm![]()



Siku mingi sana ..hope unaendelea poa
😁😁😁😁😁😂😂😂😂
Nyie mimi nimekumbuka kumbe tayari nilishamtaja,
Ni Palladino jamani,,,kama kuna mchepuko wake huko utapambana na hali yake😁
Wako ni yupi?
isije kuwa ashanipiga verse pm😂



Mama mchungaji usitufanye tukamwagiana maji ya moto kwenye mwandiko ujue![]()
Yes changu lee.. mambo ni m’banano siku hizi.Siku mingi sana ..hope unaendelea poa
Hata mimi kuna wakati nakuwa singali kuna wakati nakuwa dabo mule mule inategemea niko mazingira gani tunaishi nao.kiukweli niko singo jaman 🤣🤣🤣Pale ambapo unakuta mzee baba kwenye kila PM ya mrembo wa selfika, yupo anaimbisha. And he is acting single![]()
Mwee nkamu nimetega sikio hapa nione ni nani hahahahaNamtaja muda sio mrefu. Ole wakeeee![]()
😂😁😁😁😁😁
Kilichobaki shemdaring akufundishe kupiga vyombo.
Woman says... Show me your bank account and I will trust you