Kumbe hapa unafikaga ,tupeane mwaliko siku moja moja mkuu
Daaah, mkuu unaona sasa, sijui umetokea wapi tu, Chakorii ananibadilikia hivihivi sababu yako, mkuu tukikutana sikusalimii.. Imeisha hiyo!
Uwa napita sana pale mkuu. Next time nitakujulisha mapemaKumbe hapa unafikaga ,tupeane mwaliko siku moja moja mkuu
Ni wewe Hornet? Nilikuwa sijui.., hivi kumbe JAMIIFORUMS tuna wadada wenye miguu mizuri hivi? Jamani mimi miguu ni ugonjwa wangu, mtaniua leo!

Jmosi jiandae kunywa bia.
Naomba unifundishe namna ya kuwa na roho ngumu kulipiza ubaya kwa ubaya nataka nipeleke kiama somewhere!Sure mkuu! Siku hizi binadamu wamekuwa wanyama kuliko hata wanyama wenyewe yaani siku hizi ni heri ukutane hata na simba kuliko binadamu mwenzio asiyekufahamu!
Hata mimi nilijifanya nina upendo sana nikaja kuambiwa hiyo statement nikajifanya siamini! Ila baada ya kujua kuwa siyo kila binadamu ana roho kama yako nikajifunza kitu na sina huruma na mtoto wa mtu yaani ukinifanyia ubaya nakufanyia ubaya zaidi ila ukinifanyia wema nakufanyia wema zaidi!
Lazima tulewe mchumbaJmosi jiandae kunywa bia.
Nitakuwa kibozone kula nyama