Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi ni mkali halafu nipo strict sana,,,kipaji cha kufundisha pia sina na nina hassira za karibu japo ni ngumu mtu kuzigundua maana nimekaa kipole usoni.
Basi wewe ndiyo unafaa kuwa mwalimu! Mimi mwenzio siwezi kuwa mwalimu sababu siwezi kuwa serious na mtoto wa mtu na pia siwezi kuforce ukali ila wewe una hizo sifa na unajiona huwezi kuwa mwalimu wakati waalimu wengi wana hizo sifa!

Kuwa mwalimu sifa ya kwanza ni unaa! Ukiwa mpole wanafunzi watakuonea sana maana wanafunzi ndivyo walivyo yaani!
 
Basi wewe ndiyo unafaa kuwa mwalimu! Mimi mwenzio siwezi kuwa mwalimu sababu siwezi kuwa serious na mtoto wa mtu na pia siwezi kuforce ukali ila wewe una hizo sifa na unajiona huwezi kuwa mwalimu wakati waaimu wengi wana hizo sifa!

Kuwa mwalimu sifa ya kwanza ni unaa! Ukiwa mpole waalimh watakuonea sana maana wanafunzi ndivyo walivyo yaani!

Mimi kazi ngumu zinazohitaji roho ngumu ndio zangu.

Ualimu nitaumiza watoto wa watu kwa kipigo.
 
nyofoa mtu kabla hajakunyofoa, usifikiri kila mwanadamu ana roho kama yako.. one day utakuja kuelewa kwa nini nasema hivyo..
Sure mkuu! Siku hizi binadamu wamekuwa wanyama kuliko hata wanyama wenyewe yaani siku hizi ni heri ukutane hata na simba kuliko binadamu mwenzio asiyekufahamu!

Hata mimi nilijifanya nina upendo sana nikaja kuambiwa hiyo statement nikajifanya siamini! Ila baada ya kujua kuwa siyo kila binadamu ana roho kama yako nikajifunza kitu na sina huruma na mtoto wa mtu yaani ukinifanyia ubaya nakufanyia ubaya zaidi ila ukinifanyia wema nakufanyia wema zaidi!
 
20211018_192005.jpg
 
Back
Top Bottom