Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Nimekuja mbio.. kufungua nakutana na miguu.Kwa nini shem wangu?

Nimekuja mbio.. kufungua nakutana na miguu.Kwa nini shem wangu?

Ouk subiri.Hapa
Sema ukileta ongeza ziwe nyinginyingiOuk subiri.
Nimekuja mbio.. kufungua nakutana na miguu.![]()



tunapanda taratibu shem, hadi paji la uso.Daaah nimeona hatia sana ....hiki kitabu nilikuwa nakijua nje ndani lakn tangu nimalize elimu ya upili sijakigusa hata yahn!MUNGU anapendezwa na sisiView attachment 1545004
Usinifanyie namna hiyo Shem...tunapanda taratibu shem, hadi paji la uso.
Naona kativii mtu anaabudu........kumbe hutanii na jiina lakoOle wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu,watu waume wenye nguvu kuchanganya vileoView attachment 1545043
Siwezi kukuangusha kabisa, japo wewe toka siku ile ukaamua kabisa kula kona.Usinifanyie namna hiyo Shem...
Unataka kuw kama fyalafyala wa bujibuji.Sema ukileta ongeza ziwe nyinginyingi
Majukumu Shem.. niwie radhi..Siwezi kukuangusha kabisa, japo wewe toka siku ile ukaamua kabisa kula kona.
Cha wapi hiki?Mbuzi katoliki...hii kitu ikitengenezwa locally inakua poa sana,View attachment 1545094
Asante shem, naamini utalifanyia kazi haraka, lakini ubize ukizidi sio afya ujuwe.Majukumu Shem.. niwie radhi..
Nikirudi hapa utakutana nazo kibao.
Hilo limeisha Shem..Asante shem, naamini utalifanyia kazi haraka, lakini ubize ukizidi sio afya ujuwe.
Wewe sema tu my princess nawapeleka mnapotaka, your choice yani![]()




Amen naacha vileoOle wao waamkao asubuhi na mapema,wapate kufuata kileo;wakishinda sana hata usiku wa manane mpaka mvinyo imewaka kama Moto ndani Yao.
Isaya 5:11View attachment 1545045
One day utavaa isave hiyo for future use .Mno
Nikalijaribu kwa macho![]()
Your wish is my command, hujui we ni princess, tena mtoto wa mwisho nadekeza tu yaniOoh tuende beach![]()

..likikupata, patana nalo...fafanua shem!Hilo limeisha Shem..
Yap majukumu yakizidi siyo afya lakini tutafanyaje sasa. Kuna msemo unasema likikupata patana nalo... Si unaelewa maana yake Shem?