Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Eti 80,000 tu

Hapo parefu sana bro japo inaonekana iko poa mno. Nina ishu sana na huu usafiri wa majini lakini hii naweza kujikaza aisee hasa kama nikidunduliza mpaka kumudu hiyo 80K. Third class sh. ngapi?

Utafanikiwa tu mkuu, kikubwa ni nia.
Ratiba iko hivi.

Saa moja asubuhi
Saa sita na nusu
Saa kumi kamili

Kuna wakati abiria wakiwa wengi inaongezewa ya ziasa
Inaweza kuwa

Saa tano kamili
Saa nane kamili
Saa kumi na nusu.

Bei

Economy Class 25,000/-
Business Vlass 35,000/-
VIP 60,000/-
Royal Class 80,000/-

Binafsi napenda sana kukaa nje nipate upepo na kufurahia kutizama maji.
 
Utafanikiwa tu mkuu, kikubwa ni nia.
Ratiba iko hivi.

Saa moja asubuhi
Saa sita na nusu
Saa kumi kamili

Kuna wakati abiria wakiwa wengi inaongezewa ya ziasa
Inaweza kuwa

Saa tano kamili
Saa nane kamili
Saa kumi na nusu.

Bei

Economy Class 25,000/-
Business Vlass 35,000/-
VIP 60,000/-
Royal Class 80,000/-

Binafsi napenda sana kukaa nje nipate upepo na kufurahia kutizama maji.
Asante sana kwa info. Zanzibar imo kwenye orodha yangu ya utalii wa ndani (japo sina uhakika kama ni nchi moja ama la!)
 
Asante sana kwa info. Zanzibar imo kwenye orodha yangu ya utalii wa ndani (japo sina uhakika kama ni nchi moja ama la!)

Hautumii Passport mkuu. Uwe na NIDA tu

IMG_20210907_113640_0.jpg


IMG_20210602_134733_0.jpg


IMG_20210422_165044_3.jpg
 
Utafanikiwa tu mkuu, kikubwa ni nia.
Ratiba iko hivi.

Saa moja asubuhi
Saa sita na nusu
Saa kumi kamili

Kuna wakati abiria wakiwa wengi inaongezewa ya ziasa
Inaweza kuwa

Saa tano kamili
Saa nane kamili
Saa kumi na nusu.

Bei

Economy Class 25,000/-
Business Vlass 35,000/-
VIP 60,000/-
Royal Class 80,000/-

Binafsi napenda sana kukaa nje nipate upepo na kufurahia kutizama maji.

IMG_0585.jpg

Yaani kutizama boti inavyokata maji ni raha mno
 
Haya ndio mambo. Mimi nipo available muda wote wa Lunch kuanzia saa sita mchana hadi saa nane mchana.
On weekends nipo kuanzia saa moja asubuhi hadi saa tisa mchanaSijui wewe mkuu wa PGO nakuonaga hadi Sunday unapiga mzigo.
Watu wenye ratiba zenu hamuwezi kutuelewa na PGO zetu. Mkiwa mnalalamika #bluemonday sie tumelala....mkiwa mnaringa na #tgìf mara #sundayfunday sie tunapiga mzigo 🥴🥴

🤗🤗🤗....ratiba ya weekend nishaidumbukiza kwenye calendar. Ni kiasi cha kuchagua weekend moja tu sasa 🙂
 
Back
Top Bottom