Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,719
- 13,423
Huu mguu leo naweza nikauota..
Huu mguu leo naweza nikauota..
Hakika utakuwa unaupungufu wa ndoto za kuotaHuu mguu leo naweza nikauota..
First class ya boti gani hii bro?
Binti. Umefuta guu dah!Hakika utakuwa unaupungufu wa ndoto za kuota



Mi nimeukosa kizembe tu halafu dah!Huu mguu leo naweza nikauota..
Daddy imejifuta yenyewe😁😁Binti. Umefuta guu dah!![]()
Pole Daddy 😔😔Mi nimeukosa kizembe tu halafu dah!
First class ya boti gani hii bro?
Basi siku nyingine nitalibahatisha tu guu. Leo haikuwa bahati yangu...Hujambo lakini?Daddy imejifuta yenyewe![]()
Mi nimeukosa kizembe tu halafu dah!
Bora kama ameufuta, maana nimeahidiwa kupewa mimi, wengine haina haja kuuona maana mtaumezea mate bure tu..Daddy imejifuta yenyewe😁😁
Eti 80,000 tuHii wanaita Royal Class ya Azam, Kilimanjaro 7. Bei yake 80,000/- tu Bro.



Ukipewa nitakuja PM mkuu. Wewe ndo connection yangu pekee aisee. I hope hutaniangusha!Bora kama ameufuta, maana nimeahidiwa kupewa mimi, wengine haina haja kuuona maana mtaumezea mate bure tu..
Kabisa Daddy..Basi siku nyingine nitalibahatisha tu guu. Leo haikuwa bahati yangu...Hujambo lakini?
Mkuu, wahenga walinena, Bahati ya mwenzio usiitolee udenda!!Ukipewa nitakuja PM mkuu. Wewe ndo connection yangu pekee aisee. I hope hutaniangusha!
huyo unaemwambia aumezee mate ni Daddy..sijui unaelewa nduguBora kama ameufuta, maana nimeahidiwa kupewa mimi, wengine haina haja kuuona maana mtaumezea mate bure tu..
😉😉😉😉Eti 80,000 tu
Hapo parefu sana bro japo inaonekana iko poa mno. Nina ishu sana na huu usafiri wa majini lakini hii naweza kujikaza aisee hasa kama nikidunduliza mpaka kumudu hiyo 80K. Third class sh. ngapi?
huyo unaemwambia aumezee mate ni Daddy..sijui unaelewa
Mambo yamekuwa mambo hapa, sijaelewa..Ukipewa nitakuja PM mkuu. Wewe ndo connection yangu pekee aisee. I hope hutaniangusha!
Sio kwa Daddy SYB.kijana kaa vizuri 😁🤣🤣Mkuu, wahenga walinena, Bahati ya mwenzio usiitolee udenda!!
huyo unaemwambia aumezee mate ni Daddy..sijui unaelewa ndugu
Yaani Daddy inamaana nikiupewa anakuwa baba mkwe au ni zile Daddy za kimjini mjini, nisije nikawa nashangilia bure tu😳😳Basi siku nyingine nitalibahatisha tu guu. Leo haikuwa bahati yangu...Hujambo lakini?
Ni baba mkwe mkuu wala usiwe na wasiwasiYaani Daddy inamaana nikiupewa anakuwa baba mkwe au ni zile Daddy za kimjini mjini, nisije nikawa nashangilia bure tu😳😳


