Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Twiga business lounge..
20211018_120826.jpg
 
Marehemu Mitimingi alisema hivi;"mwanaume anaambiwa ukweli kwa njia ambayo ni nzuri,na si kufokewa"
Hata kama ni kweli ana kosa..ukimfokea unafyatua kichwa chake .
Kikishafyyatuka lazima akufyatue.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtakatifu Anna Saint Anne Una vijibusara flaniflani, isipokuwa unakosea tu pale unapochukulia kwamba kumpa mpenzi/mchumba/mme ni maamuzi yako. Kwamba unamfanyia favor!!! Hapo sio sawa. Hata mkitwangana, mkifika kwenye 6*6 ugomvi wenu mnaancha mlangoni mnaenda kupumzika.
Ngoja nisome maandiko hahaaaaaa
 
Mtakatifu Anna Saint Anne Una vijibusara flaniflani, isipokuwa unakosea tu pale unapochukulia kwamba kumpa mpenzi/mchumba/mme ni maamuzi yako. Kwamba unamfanyia favor!!! Hapo sio sawa. Hata mkitwangana, mkifika kwenye 6*6 ugomvi wenu mnaancha mlangoni mnaenda kupumzika.
Ngoja nisome maandiko hahaaaaaa
Naendaje kumkatia mtu kiuno kitandani wakati ameshanitengua hicho kiuno?
 
Naendaje kumkatia mtu kiuno kitandani wakati ameshanitengua hucho kiuno?
Mara nyingi mwanaume kumpiga mkewe ni kutokana na mrundikano wa hasira. Yaani kamuonya Mara kadhaa lakini hakuna mabadiliko. Pili huwa ni Kofi moja la mbele au nyuma ya kiganja basi. Kama mwanamke atakaa kimya bila kutaka kujirudishia au makelele, basi mwanaume ataishia hapo.
So ukipigwa Kofi moja sema nisamehe mme wangu.
Ila nawe usiwe mbishi Sana, msikilize na mjibu kibusara, hatupendi kupigana basi tu inatokea.
Ila usisahau, kinachofanywa on bed sio favor.
 
Back
Top Bottom