Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Na wewe ukikosea mkeo akutandike kofi la wapi?Mara nyingi mwanaume kumpiga mkewe ni kutokana na mrundikano wa hasira. Yaani kamuonya Mara kadhaa lakini hakuna mabadiliko. Pili huwa ni Kofi moja la mbele au nyuma ya kiganja basi. Kama mwanamke atakaa kimya bila kutaka kujirudishia au makelele, basi mwanaume ataishia hapo.
So ukipigwa Kofi moja sema nisamehe mme wangu.
Ila nawe usiwe mbishi Sana, msikilize na mjibu kibusara, hatupendi kupigana basi tu inatokea.
Ila usisahau, kinachofanywa on bed sio favor.