Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Leo napumzisha figo kidogo mkuuUnatafuta kutapika humo mzee taste buds zako tunazijua za uchungu tuu..![]()

Leo napumzisha figo kidogo mkuuUnatafuta kutapika humo mzee taste buds zako tunazijua za uchungu tuu..![]()

Sawa shem darling..Napenda ya extra chill or bbq

Tumelisubiri pale Makambako kwa dakika 40 tukiwa tunakula bila mafanikio.Haliwakuti leo Hilo aisee
Seems umepamiss Mbeya, nishtue Weekend tukupe lift tukienda 😃

Usafiri huu nauogopa hatari...

Seems umepamiss Mbeya, nishtue Weekend tukupe lift tukienda![]()

Ohoo hilo huwa linachukua masaa 6 Mbeya-MakambakoTumelisubiri pale Makambako kwa dakika 40 tukiwa tunakula bila mafanikio.
You were right Mkuu![]()
Ndiyo vizuri. Maana yake kana afya.
Naam. Nasubiri.


Ila sijui kamelewa haka,maana baba yake kipindi anakaweka alikuwa amekunywa balaaNdiyo vizuri. Maana yake kana afya.

Ila sijui kamelewa haka,maana baba yake kipindi anakaweka alikuwa amekunywa balaa
Sent using Jamii Forums mobile app





Mweee kawe tu ka kiume.
Basi katakuwa katoto ka Kike hako

