Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,224
Limepoa dear. God is good 😍D,unaendeleaje na jino??
Limepoa dear. God is good 😍D,unaendeleaje na jino??
Limepoa dear. God is good![]()
,,,pole.Eh poleNina phobia na maji.
Ni heri nijaribu kunywa pombe kuliko kujaribu kucheza na maji.
Sikupingi
Duuh hivi hizi boat za Azam Marine huwa zinatofautiana muda! Maana hata mwenyewe nakumbuka nilikuwaga naambiwa ni masaa mawili ila tangu nimeanza kupanda mwenyewe hayajawahi kufika masaa mawili!Yaah nimetoka saa 04:30 mpak 06:30 hiv ntakuwa Dar
Safari tamu mno ukianza hata road trips unaachana nazo
2021 mkuu??
Nilitaka zile za orange
Dogo akasema hataki onion and chill is his fav.
Nikanunua ila nimeshindwa kula
Wakikosa cornflakes wanamix pringles kwenye maziwa![]()



Mmhh hapa mbona kama panafanana na kwa Saint Anne? Isijekuwa ndiyo mambo tayari mshasogezana ndani kimya kimya halafu hamjatualika eti ninyi watoto?Leo mwendo wa pringles na maji tuView attachment 1977658



Angalia vzr mkuuMmhh hapa mbona kama panafanana na kwa Saint Anne? Isijekuwa ndiyo mambo tayari mshasogezana ndani kimya kimya halafu hamjatualika eti ninyi watoto?![]()
![]()

Mmhh hapa mbona kama panafanana na kwa Saint Anne? Isijekuwa ndiyo mambo tayari mshasogezana ndani kimya kimya halafu hamjatualika eti ninyi watoto?![]()
![]()




Nilienda mara mojaEh pole
Beach unaendaga kweli ??
Unatembea zako fukweni hivi kama hupendi kuogelea ...
Ooh okay
Nimeangalia kwa Nguvu ila bado nimegundua ni pale pale tuAngalia vzr mkuu![]()
Nimeangalia kwa Nguvu ila bado nimegundua ni pale pale tu




Napenda ya extra chill or bbqLeo mwendo wa pringles na maji tuView attachment 1977658
Vinywaji pendwa
Unatafuta kutapika humo mzee taste buds zako tunazijua za uchungu tuu..Leo mwendo wa pringles na maji tuView attachment 1977658
