Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila kuna mambo yanatia hasira mno kama usaliti n.k ..

Hapo chanzo cha ugomvi ndo kinapelekea kipigo .
Marehemu Mitimingi alisema hivi;"mwanaume anaambiwa ukweli kwa njia ambayo ni nzuri,na si kufokewa"
Hata kama ni kweli ana kosa..ukimfokea unafyatua kichwa chake .
Kikishafyyatuka lazima akufyatue.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh ndoa kumbe ni ngumu jamani!
Nimestushwa na kelele za vipigo,nyumba ya jirani wanatwangana hatari ..mwanamke anapigwa na bado anaongea huku analia,mara utaniuwa,mara nipige.
Ameachwa ndio anapaza sauti zaidi..sasa hivi nasikia "nipigee"
ana sauti Kali aisee
ndoa sio ngumu
 
Marehemu Mitimingi alisema hivi;"mwanaume anaambiwa ukweli kwa njia ambayo ni nzuri,na si kufokewa"
Hata kama ni kweli ana kosa..ukimfokea unafyatua kichwa chake .
Kikishafyyatuka lazima akufyatue.
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said ,

Maana imeandikwa katika Wakolasai 3:18
Enyi wake, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana. Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.
 
Duh ndoa kumbe ni ngumu jamani!
Nimestushwa na kelele za vipigo,nyumba ya jirani wanatwangana hatari ..mwanamke anapigwa na bado anaongea huku analia,mara utaniuwa,mara nipige.
Ameachwa ndio anapaza sauti zaidi..sasa hivi nasikia "nipigee"
ana sauti Kali aisee
Ukiwaona leo baadae sasa watakapo kuwa wanacheka na kutembea pamoja utafikiri jana hawajatwangana, ndoa ikiwa na mwanamke mwenye makelele aisehh ni rahisi sana mwanaume kutandika
 
Back
Top Bottom