Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Marehemu Mitimingi alisema hivi;"mwanaume anaambiwa ukweli kwa njia ambayo ni nzuri,na si kufokewa"Ila kuna mambo yanatia hasira mno kama usaliti n.k ..
Hapo chanzo cha ugomvi ndo kinapelekea kipigo .
Hata kama ni kweli ana kosa..ukimfokea unafyatua kichwa chake .
Kikishafyyatuka lazima akufyatue.
Sent using Jamii Forums mobile app


