Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Haya bwana,ngoja nitulie kimya
Haya bwana,ngoja nitulie kimya
Utanifanya niende zenji.
Utanifanya niende zenji.
Kuna wapemba nipo nao kazini,kila siku wananishawishi tuende Zanzibar..ila naogopa mno maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kigamboni tu sijawahi fika,naogopa maji.View attachment 1977566
Twende weekend ya mwisho wa mwezi

Hata kigamboni tu sijawahi fika,naogopa maji.
Huko zenji nasikia ni masaa mawili si nitazimia Mimi!
Dah, siwezi kaa karibu na maji namna hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
My Flav. Kuna siku nlikua nasafiri nikanunua fasta fasta kumbe nimepewa Flav. Ya onion, aisee ilibidi nimpe mhehe mmoja pembeni yangu mbele nikanunua chilli crips ndio nikaishi nazo. Ukiacha home, napokua safarini napenda sana kula snacks. Ngoja nikatafute maziwa nijigongee cornflakesBarbecue


Sawa mkuu.Mkuu nikuone pm kidogo
My Flav. Kuna siku nlikua nasafiri nikanunua fasta fasta kumbe nimepewa Flav. Ya onion, aisee ilibidi nimpe mhehe mmoja pembeni yangu mbele nikanunua chilli crips ndio nikaishi nazo. Ukiacha home, napokua safarini napenda sana kula snacks. Ngoja nikatafute maziwa nijigongee cornflakes![]()


Nina phobia na maji.Yaah nimetoka saa 04:30 mpak 06:30 hiv ntakuwa Dar
Safari tamu mno ukianza hata road trips unaachana nazo