Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,840
- 57,483
Sawa, tegemea ujio wangu jioni.ni ya mbeya
Usisahau kunipa coordinates za eneo
Sawa, tegemea ujio wangu jioni.ni ya mbeya
ngoja nikjibu kwa uelewa wangu...Sasa kama siyo dikteta kwanini umuadhibu mtu kwa uhuru uliompa? Yaani ni sawa baba amuambie mwanaye achague kuenda shule au kuwa jambazi halafu akichagua awe jambazi amuadhibu wakati alimpa uhuru wa kuchagua sasa kama hakutaka mwanaye awe jambazi si angesema aende shule tu?
Hadi zile jirani 🙈🤸🏽🤸🏽Zilete zote.
Samaki vilivyokaushwa kwa mafuta ya mawese na Chumvi. Ni watamu ukiwachoma na kula na Ugali![]()
🙂, sio wote, we kwa nini u generalize, au na nyie ndiye mankubali ule msemo wanaume wanasema wanawake wote akili zao zinafanana..Wote wanaoenda kuchukua hizo
Nadhani umenielewa,,,"zote"Hadi zile jirani![]()
Hahahaha.......utakuwa umewahi kuishi Morogoro jirani, manake sio kwa kujua huko Nguruka.Duuh umenikumbusha nguruka aisee na uduvi
Thanks Mama 🤸🏽🤸🏽🤸🏽🤸🏽Nadhani umenielewa,,,"zote"
Dooh sijui kwanini mimi siyo Mpenzi wa vitu vya kuchomaSamaki vilivyokaushwa kwa mafuta ya mawese na Chumvi. Ni watamu ukiwachoma na kula na Ugali![]()
Duuh Sawangoja nikjibu kwa uelewa wangu...
kwanza kabisa tukubaliane uhuru tulionao wa kutenda mambo na kuchagua lazima uwe ndani ya uwezo wetu, yaani what's in your capacity, ikiwa ndani ya uwezo wako basi waweza chagua na kutenda..
nikupe mfano..
Mwalimu anayefundisha darasa la watoto 100, mwishoni mwa mwaka wanafanya mtihani lakini kabla ya mtihani mwalimu kwa sababu anafahamu uwezo wa kila mwanafunzi, anafahamu nani ana juhudi, nani ni mtoro, nani ni muelewa haraka n.k,mwalimu tokana na kuwafahamu wanafunzi ata predict mwanafunzi fulani atafaulu vizuri, mwanafunzi fulani atafeli, na kweli baada ya mtihani yanatokea kama alivyo tabiri, je mwalimu alaumiwe kwa utabiri wake? mwanafunzi aliyefeli alaumu mwalimu kamtabiria kufeli? nani wa kulaumiwa kwa mwanafunzi kufeli mwalimu au mwanafunzi 🙂
Mungu ametupa uhuru wa kuchagua mema au mabaya, choice is yours, ametuambia mema na mabaya na akatupa uhuru wa kuchagua, kila kitu unachokwenda kukifanya mungu anajua unakwenda kufanya nini na nini matokeo yake, yeye si wa kulaumiwa katika choice zako japo anajua kabla hayajatokea 🙂..
Hahahaha.......utakuwa umewahi kuishi Morogoro jirani, manake sio kwa kujua huko Nguruka.
Ukibahatika kufika Mtwara wana Uduvi wao, wakubwa wakubwa hivi![]()
Huoni jinsi watu wanavyofyatuana ubongo mkuu!🙂, sio wote, we kwa nini u generalize, au na nyie ndiye mankubali ule msemo wanaume wanasema wanawake wote akili zao zinafanana..
Kazi gani?Nilivaa kitichaticha,kama wale maticha wa mama wa zamani zamani wale.
Ila mimi ningekuwa mwalimu wanafunzi wangu wangepata kazi![]()
Mbona Harmonize anayo? kwa Tanzania kesi za watu kutoana upepo, gunshot inachukua sehemu ndogo saaana, visu, mapanga, petroli n.k ndizo silaha pendwa..Huoni jinsi watu wanavyofyatuana ubongo mkuu!
Wakati wanapewa hizo silaha walisema hivyohivyo kuwa hawatatumia vibaya.
Natamani hivyo vitu vingepigwa tu marufuku,watu wamanyofoana mioyo kimasihara tu.Mbona Harmonize anayo? kwa Tanzania kesi za watu kutoana upepo, gunshot inachukua sehemu ndogo saaana, visu, mapanga, petroli n.k ndizo silaha pendwa..
sasa huwezi sema watu wasimiliki visu, mbona wamasai wanatembea na rungu, sime na fimbo mtaani, ni kawaida tu kumiliki bunduki kwa ajili ya kujilinda we na mali zako, kikubwa uwe unamiliki kihalali..
Mimi ni mkali halafu nipo strict sana,,,kipaji cha kufundisha pia sina na nina hassira za karibu japo ni ngumu mtu kuzigundua maana nimekaa kipole usoni.Kazi gani?
nyofoa mtu kabla hajakunyofoa, usifikiri kila mwanadamu ana roho kama yako.. one day utakuja kuelewa kwa nini nasema hivyo..Natamani hivyo vitu vingepigwa tu marufuku,watu wamanyofoana mioyo kimasihara tu.
😀😀😀Naendaje kumkatia mtu kiuno kitandani wakati ameshanitengua hicho kiuno?
Wao huwa hawakosei.Na wewe ukikosea mkeo akutandike kofi la wapi?
HahahaMimi ni mkali halafu nipo strict sana,,,kipaji cha kufundisha pia sina na nina hassira za karibu japo ni ngumu mtu kuzigundua maana nimekaa kipole usoni.