Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Nataka nimtafute mpishi wa hii bia seems like he is so cool and well trainedView attachment 1976272










Ahadi ya kitu kizuri kwa mlevi ni chupa nyingne za pombe hapo anakuona wa maana

Mchumba yalinikuta mazito
Nimeenda pale mnanaita City Mall..picha linaanza kupanda zile ngazi lift za umemehaki ngazi zinatembea nashindwa weka mguu
Yaani mtu niliyekuwa naye almanusura azimie kwa kicheko.
Ukienda na mimi sehemu lazima nikutie aibu.



HAHAHAA anakuona mwanasiasa tu we mwambie njoo unywe JD uone response
Nice ..
Amenipotezea.HAHAHAA anakuona mwanasiasa tu we mwambie njoo unywe JD uone response



Nimecheka hapo kwamba ukitoka na mtu lazima umtie aibu



Ngoja nikitafute mchumba