cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,284
Pale nina uhakika ukipanda utalia michozi.
Tulipanda wawili, dk zimeisha imezimwa Mimi nikabaki juu weee nilishikwa na uoga. Ilipowashwa tena ili izunguke nirudi chini sijui aliwasha na speed kubwa? Maana kilinikuta kitu mpaka ananifungua mkanda machozi yananilenga![]()
Ila sikomi maana ina raha sana



kiliumana? Hahaha.Mchumba yalinikuta mazito
Nimeenda pale mnanaita City Mall..picha linaanza kupanda zile ngazi lift za umemehaki ngazi zinatembea nashindwa weka mguu
Yaani mtu niliyekuwa naye almanusura azimie kwa kicheko.
Ukienda na mimi sehemu lazima nikutie aibu.






HahahaHizo mnaweka kubwa sana, ona sasa hatuona hata lips、wekeni hata kwenye nywele kwingine pawe natural live bila chenga tusafishe macho. Kama vipi nitumie Mimi DM
ntakushukuru sana.
fasta nitakuja na mapichapicha yoote hadi utaridhika.
Ngase kupwaga sindo bambo,jana niikike ku songeaupwaga bhore we wa msikana,
