Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pale nina uhakika ukipanda utalia michozi [emoji1787][emoji1787].

Tulipanda wawili, dk zimeisha imezimwa Mimi nikabaki juu weee nilishikwa na uoga. Ilipowashwa tena ili izunguke nirudi chini sijui aliwasha na speed kubwa? Maana kilinikuta kitu mpaka ananifungua mkanda machozi yananilenga [emoji3346]

Ila sikomi maana ina raha sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiliumana? Hahaha.
 
Mchumba yalinikuta mazito[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeenda pale mnanaita City Mall..picha linaanza kupanda zile ngazi lift za umeme[emoji38][emoji38]haki ngazi zinatembea nashindwa weka mguu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani mtu niliyekuwa naye almanusura azimie kwa kicheko.

Ukienda na mimi sehemu lazima nikutie aibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizo mnaweka kubwa sana[emoji3], ona sasa hatuona hata lips、wekeni hata kwenye nywele kwingine pawe natural live bila chenga tusafishe macho. Kama vipi nitumie Mimi DM[emoji1787] ntakushukuru sana.
Hahaha
Mkuu wataka kuona lips na sura za baba zetu?
Kuna picha yangu full ipo hapo juu,ukiangalia utaniona.

Ukitaka nije PM kutuma picha nipe note moja tu hata ya dola 20[emoji39]fasta nitakuja na mapichapicha yoote hadi utaridhika.
 
Back
Top Bottom