Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,948
- 136,701
Aisee enjoy

Aisee enjoy





Wa mkoani nikafurrahii baada ya kuona sanamu la Askari la posta
Ila ushamba ni mzigo aki ya nani.View attachment 1963000



Mchumba yalinikuta mazito




haki ngazi zinatembea nashindwa weka mguu


Mchumba yalinikuta mazito
Nimeenda pale mnanaita City Mall..picha linaanza kupanda zile ngazi lift za umemehaki ngazi zinatembea nashindwa weka mguu
Yaani mtu niliyekuwa naye almanusura azimie kwa kicheko.
Ukienda na mimi sehemu lazima nikutie aibu.


pole sana mchumba. Bado upo Dar?Eti amepanda ngazi kaniacha chini,nashangaa zinavyotembeapole sana mchumba. Bado upo Dar?










Nikirudi nitakuchekiEti amepanda ngazi kaniacha chini,nashangaa zinavyotembea
Nikamwambia mimi sipandi,..
Akashuka kunichukua ili tupande wote..sasa hapo ndo alijikoroga
Ameweka mguu wakati mimi bado wakati tulikubaliana tunaweka kwa pamoja huku nimemshika mkono..
Nikamvuta
Yaani nilitaka umiza mtoto wa mtu
Mbeya hivyo vitu havipo jamani
Bado nipo mchumba.

Sawa karibu.Nikirudi nitakucheki![]()
Sawa karibu.
Muhimu usije mikono mitupu,uje na zawadi za Moro.
Mkono mtupu haulambwi.


sawaaUtaniletea Nini?sawaa
Camera yako iko clear kinyama.
Bhasi nitakupa zawadi ya mimbaBado haujanishawishi![]()
Mimba nifanyie nini???Bhasi nitakupa zawadi ya mimba
