Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

.
IMG_20211001_162415_8.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mchumba yalinikuta mazito[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeenda pale mnanaita City Mall..picha linaanza kupanda zile ngazi lift za umeme[emoji38][emoji38]haki ngazi zinatembea nashindwa weka mguu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani mtu niliyekuwa naye almanusura azimie kwa kicheko.

Ukienda na mimi sehemu lazima nikutie aibu.
 
Mchumba yalinikuta mazito[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeenda pale mnanaita City Mall..picha linaanza kupanda zile ngazi lift za umeme[emoji38][emoji38]haki ngazi zinatembea nashindwa weka mguu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani mtu niliyekuwa naye almanusura azimie kwa kicheko.

Ukienda na mimi sehemu lazima nikutie aibu.
[emoji23][emoji23][emoji23] pole sana mchumba. Bado upo Dar?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] pole sana mchumba. Bado upo Dar?
Eti amepanda ngazi kaniacha chini,nashangaa zinavyotembea[emoji23]
Nikamwambia mimi sipandi,..
Akashuka kunichukua ili tupande wote..sasa hapo ndo alijikoroga[emoji1787]
Ameweka mguu wakati mimi bado wakati tulikubaliana tunaweka kwa pamoja huku nimemshika mkono..
Nikamvuta[emoji38]
Yaani nilitaka umiza mtoto wa mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mbeya hivyo vitu havipo jamani[emoji23][emoji23][emoji23]

Bado nipo mchumba.
 
Eti amepanda ngazi kaniacha chini,nashangaa zinavyotembea[emoji23]
Nikamwambia mimi sipandi,..
Akashuka kunichukua ili tupande wote..sasa hapo ndo alijikoroga[emoji1787]
Ameweka mguu wakati mimi bado wakati tulikubaliana tunaweka kwa pamoja huku nimemshika mkono..
Nikamvuta[emoji38]
Yaani nilitaka umiza mtoto wa mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mbeya hivyo vitu havipo jamani[emoji23][emoji23][emoji23]

Bado nipo mchumba.
Nikirudi nitakucheki[emoji28]
 
Back
Top Bottom