Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Naelewa ...Siku ukienda MOI hata kutembea tu utatembea kuanzia posta hadi kimara
Sio mpenzi wa boda hata hivyo
Naelewa ...Siku ukienda MOI hata kutembea tu utatembea kuanzia posta hadi kimara
Nilikuwa nimeanza kupandisha flower-less pic taratibu mpaka nilivyosoma #4 🙄🙄🙄Asante sana, kwa sababu umezungumzia ulinzi mkali itakuwa kama ifuatavyo...
1-Nyumba yako tutaizungushia sensors zenye uwezo wa kugundua hata kipepeo akiwa half mile away, sensors zitakuwa na uwezo wa ku detect moshi just in case intruders wataamua kutumia njia hio kupuliza moshi au spray zenye madhara
2-tutaweka sensors na mifumo ya biometric recognition, akija mgeni software zitamgundua hata kwa kutembea tu ukiachilia mbali fingerprint na iris scanner..
3-mafuta, vipodozi, vyakula, malazi, maji, vinywaji itabidi kuchunguzwa na mtaalamu/mkemia kabla hujavitumia.., hata maji ya kuoga...
4-Tutafunga wireless detectors(wireless intrusion detection system), kuanzia simu unayotumia, computer na kila kitu, lazima taarifa zipite kwenye device maalumu ambayo ita decrypt taarifa zote kabla hazijaingia wala kutoka, kwa hio vyote unavyo chat lazima tujue unachat na nani na una browse nini..hio ni kuzuia udukuzi..
5-tutaweka fire proof, tutaweka pia smart home security systems kuhakikisha kila kitu una ki control kwa kutumia simu ya mkononi tu, kuanzia kufunga milango, madirisha, geti, kuwasha taa na kila kitu hata tv..
Kutakuwa na walinzi tofauti tofauti wenye kazi tofauti, achana na wale wenye silaha na miili mikubwa..
wapo njiani wanakuja..
NB gharama zote juu yangu..🙂, toa ua sasa



Amen...kanisaidia sana kwenye presentation miaka hiyoo hahaha
Nilikuwa nimeanza kupandisha flower-less pic taratibu mpaka nilivyosoma #4
Badala ya kuniwekea some super proxy firewall inayo-crypt my activities unataka kuwarahisishia wadukuzi kazi??? Imagine the person in charge akidanganyika![]()
Anabonyeza SEND tu kesi inaisha
Ila everything else is on pointUlinzi mkali wa kumfaa Malkia kabisa so make the necessary changes to #4 and it's on!!!!
Cc
NDINDA
Hasa namba 4 we are on the Verge 
Huwezi, wiki hii nimeshika shika sana hayo madude
View attachment 1976044
View attachment 1976045
View attachment 1976046

Yaani nusu saa nzima unaisubiri daladalaEh bora tu ukae kwenye foleni ila sio kusubiri daladala muda wote huo .
hapo bado kukaa kwenye foleni.Eeh ndio nusu saa nzimaYaani nusu saa nzima unaisubiri daladalahapo bado kukaa kwenye foleni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Babe Jack Palladino naona ndio unaamkaKaribuni tufungue kinywaView attachment 1976174
.
anafungua kinywa kwa makande na Kilimanjaro lager 














Eeh ndio nusu saa nzima
Ndo maana unapambania upate seat au ugeuze tu na gari .

.#sugarcravings #sugarrush
View attachment 1976194
Nazimua hapa pia!Babe Jack Palladino naona ndio unaamka.
Njoo umuone mlevi mwenzioanafungua kinywa kwa makande na Kilimanjaro lager
Yaani pombe imekuwa chai safari hii
Haki hii nafasi ya uenyekiti wa vileo kuna kinyang'anyiro Kikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app

Hahaha ...
Halafu unapanda unakaa,kuna mtu mzima anapanda kituo cha mbele inabidi umpishe.
Sent using Jamii Forums mobile app
JesusNazimua hapa pia!View attachment 1976217



















