Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
thanksData zinakuwa decrypted ili kuzikagua then zinakuwa encrypted zinapotumwa..Nilikuwa nimeanza kupandisha flower-less pic taratibu mpaka nilivyosoma #4 🙄🙄🙄
Badala ya kuniwekea some super proxy firewall inayo-crypt my activities unataka kuwarahisishia wadukuzi kazi??? Imagine the person in charge akidanganyika 🙄🙄
Anabonyeza SEND tu kesi inaisha 😱
Ila everything else is on point 🤝🏾🤝🏾👊🏾👊🏾 Ulinzi mkali wa kumfaa Malkia kabisa so make the necessary changes to #4 and it's on!!!!🤓
Cc
NDINDA
😊 Akiwa bado na mashaka itabidi tumpeleke Mars, huko hakuna wa kumfikia😁Yaani hapa atoe tu Ua? Kila kitu kahakikishiwa[mention]Lizzy [/mention] sasa fanya mambo.
Tangu nimefika Dar hii ni mara yangu ya pili kupanda daladala.
Hakiyanani nimeteseka Leo,yaani Korogwe hadi Kimara mwisho kwa mwendokasi huwa natumia dakika 2 hadi tatu.
Leo nusu saa nzima
Nimeshangaa utaratibu wa kudandia gari kabla haijasimama,na abiria waliofika hawajashuka Bado.
Nilishangaa pia daladala za Dar hazina maandishi nyuma Na mbele kama Mbeya.
Yote tisa, kumi Zile ngazi za lift zinazotembea,pale City Mall aisee zilinitoa jasho Mno.
Huyo wa daladala ya gerezani
Sent using Jamii Forums mobile app






Haya mambo haya







Nitangulie kupaa na ngazi???Ilitakiwa akutangulize bwana.
Gentleman's comment
Kuingia kwenye lift
Green cityView attachment 1976652
Ngoja nione kama litatukuta Makambako


Haliwakuti leo Hilo aiseeView attachment 1976652
Ngoja nione kama litatukuta Makambako
Selinalo Hotel,shanty Town
Chebe limekolea naziIshakuwa tabu huku!!!View attachment 1976718