Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikuwa nimeanza kupandisha flower-less pic taratibu mpaka nilivyosoma #4 🙄🙄🙄

Badala ya kuniwekea some super proxy firewall inayo-crypt my activities unataka kuwarahisishia wadukuzi kazi??? Imagine the person in charge akidanganyika 🙄🙄

Anabonyeza SEND tu kesi inaisha 😱

Ila everything else is on point 🤝🏾🤝🏾👊🏾👊🏾 Ulinzi mkali wa kumfaa Malkia kabisa so make the necessary changes to #4 and it's on!!!!🤓

Cc
NDINDA
Data zinakuwa decrypted ili kuzikagua then zinakuwa encrypted zinapotumwa..
Basi tutarekebisha kwa sababu privacy ni muhimu..😊
 
2022 kila mmoja wetu kwa uwezo wa m'mungu tukatimize ndoto zetu..
🙏🙏

Child-Showing-Tongue-Funny-Picture.jpg
 
Tangu nimefika Dar hii ni mara yangu ya pili kupanda daladala.

Hakiyanani nimeteseka Leo,yaani Korogwe hadi Kimara mwisho kwa mwendokasi huwa natumia dakika 2 hadi tatu.
Leo nusu saa nzima

Nimeshangaa utaratibu wa kudandia gari kabla haijasimama,na abiria waliofika hawajashuka Bado.

Nilishangaa pia daladala za Dar hazina maandishi nyuma Na mbele kama Mbeya.

Yote tisa, kumi Zile ngazi za lift zinazotembea,pale City Mall aisee zilinitoa jasho Mno.


Huyo wa daladala ya gerezani

Sent using Jamii Forums mobile app

 
Back
Top Bottom