Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Hiyo inaitwa "come back to life"

Hiyo inaitwa "come back to life"

Mbinguni tutaenda wachache sanaHahaha ...
Siku hizi watu wanagoma kupisha watu ,unakuta mama mwenye mtoto kasimama tu ,watu hawampi seat akae .



Jesus Christ my LordHiyo inaitwa "come back to life"![]()







Jesus Christ my Lord
Oh MUNGU niokolee huyu kiumbe Mimi
Mchumba!mchumba!mchumba!
Nimekuita mara 3..
Sent using Jamii Forums mobile app



Mchumba this is too much

Bora ufanye hivyo seat za mwishoni au dirishani ndo zinafaa kidogo ...Mbinguni tutaenda wachache sana
Kuna siku nilipanda mwendokasi gerezani ya kwenda Mbezi,,nilisubiri foleni ya seat za kukaa,na route ya Mbezi ina nyomi la watu.nikakaa..kufika fire akapanda mtu mzima ambaye kwa mtu yeyote mwenye huruma lazima umpishe.
Nikampisha .
Tangu siku ile huwa sijitesi na foleni za seat za kukaa,zinanitafutia dhambi Bure
Huwa nasimama mara nyingi..bora nisimame tu au nikae seat ya nyuma kabisa,tena dirishani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora ufanye hivyo seat za mwishoni au dirishani ndo zinafaa kidogo ...
Kuna siku nimetoka mkoani narudi dar ndo tumepanda gari hapo Mbezi hatujafika hata maramba mawili mama mwenye mtoto huyo kapanda , nilikosa amani nikaamua nisimame tu .




😅😅 Anakukata jicho hatari
Yaani ukikaa tena ni kero,mtu anakuangalia umpishe.
Mimi nilishaachana na habari za kukaa,,,kila siku nasimama aiseee..yote hii ni kuzuia kutenda dhambi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakukata jicho hatari
Hiyo njia yenu nzuri
Huwa napanda daladala kwenda mawasiliano kupitia mandela road mara nyingi siwezi kusimama maana jioni hapafai foleni kama nini ..





Kila ukiona jicho lake ni kama linasema mwanangu nipishe
Mwendokasi kusimama ni rahisi maana Haina foleni,inatembea haraka pia,labda dereva awe mchovu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha chai Ina sukari mnoo sisi sio watoto..Ila pamoja na kugombea kiti jack anatisha wiki ijayo nakuja daslamu ikimpendeza tupate wasaha tukae meza moja tunyweeeeeeeeeBabe Jack Palladino naona ndio unaamka.
Njoo umuone mlevi mwenzioanafungua kinywa kwa makande na Kilimanjaro lager
Yaani pombe imekuwa chai safari hii
Haki hii nafasi ya uenyekiti wa vileo kuna kinyang'anyiro Kikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahadi ya kitu kizuri kwa mlevi ni chupa nyingne za pombe hapo anakuona wa maanaMchumba this is too much
Too much is harmful
Punguza kidogo baba,please nakuomba.
Hii ni kwa faida yangu na jamii inayokuzunguka.
Ukifanikiwa kupunguza nakuahidi kitu kizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitua tu Dar nicheki mkuuHahaha chai Ina sukari mnoo sisi sio watoto..Ila pamoja na kugombea kiti jack anatisha wiki ijayo nakuja daslamu ikimpendeza tupate wasaha tukae meza moja tunyweeeeeeeee
Sawa mkuu tutaanza na pale castle lounge kibo complexUkitua tu Dar nicheki mkuu
Jamani NDINDA hii sio tabia endelevu (been there though 🙈🙈) ni leo tu nataka kuchangamka kidogo kazi ikimbie.Haa! Sugary drinks, Candies, unaweza Haribu hako ka body siku si nyingi.
Hahahaa unaona umpishe tu .
Huo ndo uzuri wa mwendokasi hamkai foleni.

Hahaha chai Ina sukari mnoo sisi sio watoto..Ila pamoja na kugombea kiti jack anatisha wiki ijayo nakuja daslamu ikimpendeza tupate wasaha tukae meza moja tunyweeeeeeeee

Nipo okay vipi wewe ?