Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,251
Sema tu unatafuta mkorogo![]()
Hapana anajua siuzi mkorogo
Ana Rangi nzuri inahitaji bidhaa nzuri kuitunza

Sema tu unatafuta mkorogo![]()

mbeya??View attachment 1961673
Raha sana yani
Mchumba unakumbuka ulikataa kunifundisha biaNjoo tunywe bia

Nitakuja MbeyaMchumba unakumbuka ulikataa kunifundisha bia
Nilikuomba unifundishe.
Unakuja kunifundisha kunywa?Nitakuja Mbeya


Mwee kalumbu kila ukiona migomba unadhani ni Tukuyumbeya??



mbeya??
Unanitesa Mjukuu, yaani picha nzuri nzuri ndiyo unaposti usiku huu. Hapa nimelazimika kuvaa miwani yangu niweze kufaidi kwa macho 😋Mapema,kuhesabu kenchiView attachment 1961786
Hivi ulinambia nikutumie ile saa Machame? Kwa guu hili haki ya nani hiyo saa naleta Mwenyewe bila kumwagiza mtu 🙈😜Bembea 🧚♂️View attachment 1961785
Naomba nije unifundishe kuimba hiyo live band 😜😜View attachment 1961780Songi songi ❤️❤️
Nahesabu kenchi na misumariUnanitesa Mjukuu, yaani picha nzuri nzuri ndiyo unaposti usiku huu. Hapa nimelazimika kuvaa miwani yangu niweze kufaidi kwa macho
Tugawane hizo chenchi Mjukuu![]()
...kweli hauoni
Pole bestDaah wamerudisha Hawa wajinga
Wapi wanaimba karioke hapa dar 😍Naomba nije unifundishe kuimba hiyo live band 😜😜