Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Karibu mchumba.
Nikununulie bia
Kibozone kuna mziki mnene,ila bia iwe ya bei rahisi
,zile za elfu 30 hapana.



Karibu mchumba.
Nikununulie bia
Kibozone kuna mziki mnene,ila bia iwe ya bei rahisi
,zile za elfu 30 hapana.



Elfu 30 mshahara wangu wote huo






Kuanguka sio rahisi maana unafungwa mkanda kiunoni, na huo mnyororo nilioshika.Ngoja uanguke
Kiganja au kigimbi? Siku hizi miguuni kuna kiganja?Naongezeka kiganja tu.
View attachment 1962052
Uwe kijana ili ugundue nini babu?Kweli wajukuu leo mmeamua kunitesa, yaani hapa nilipoteza miwani yangu imenibidi kutumia ya Bibi yenu ili niweze kuwazoom vizuri. Natamani ningekuwa Kijana 😋😋🙈🏃🏻
Kiganja kinarefuka kwa nyumaKiganja au kigimbi? Siku hizi miguuni kuna kiganja?
Kuna michezo siji kuicheza maishaniKuanguka sio rahisi maana unafungwa mkanda kiunoni, na hizo chuma nilizoshika.
Ila kama una uoga ndio kipengele, utajikuta umepiga kelele ikiwa inaondoka na kushusha![]()
Ukigusa hutonasia kweli? Maana .. 😁Nakuja manake si kwa Guu hilo, nitaomba angalau uniruhusu nikuguse hata mkono wako niamini kama ni wewe. Manake Mimi ni kizazi cha mwisho cha akina Thomaso tusioamini 🙈🏃🏻🏃🏻
Kiganja? Au kisigino? Kilichopo mguuni as you said kinarefuka kwa nyuma ni kisigino. Kiganja ni cha mkononi.Kiganja kinarefuka kwa nyuma
Kigimbi kidogo zil e pilika za kugombania daladala zinahitaji.ukakamavu wa miguu
Ewaa kisiginoKiganja? Au kisigino? Kilichopo mguuni as you said kinarefuka kwa nyuma ni kisigino. Kiganja ni cha mkononi.
Au inakuwaje kuwaje?
Wacha weeeKuanguka sio rahisi maana unafungwa mkanda kiunoni, na huo mnyororo nilioshika.
Ila kama una uoga ndio kipengele, utajikuta umepiga kelele ikiwa inaondoka na kushusha![]()
Pale nina uhakika ukipanda utalia michozi 🤣🤣.Kuna michezo siji kuicheza maishani
Ndio bana 😆Wacha weee
Nijuavyo kiganja ni mkononi, mguuni ni kisigino.Ewaa kisigino
Kiganja ni mkononi tu??
Nilidhani na mguuni pia.
Huko kwenye kulia machozi umeenda mbali mno.Pale nina uhakika ukipanda utalia michozi.
Tulipanda wawili, dk zimeisha imezimwa Mimi nikabaki juu weee nilishikwa na uoga. Ilipowashwa tena ili izunguke nirudi chini sijui aliwasha na speed kubwa? Maana kilinikuta kitu mpaka ananifungua mkanda machozi yananilenga![]()
Ila sikomi maana ina raha sana