Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Duh pole pia chukua protector ngumu that durable, nina protector ninayo aiseh sio rahisi kupata crakes, usichukue zile zinauzwa kila kona na kwa bei cheap, tafuta zile nzuri na unique
Na sisi wenye allergy na protectors tukimbilie wapi? 😐😐
 
Enheeeeeeeh! Vuta picha ile siku ambayo bebe wako Lee mligaragazana hadi ukatoka na kufuli mkononi halafu ikawa kila ukikaa ukikumbuka ile mikito unajikuta tu unacheeeka unafurahi.

Maake unajua haya mapanya wakati mwingine huwa yanakuwa kama yamepandisha mashetani bas kila ukililisha linazidi kutuna na kufukunyua naniliu zooote linafukua zilikolala linavuruguaaaa hadi unafurahi na roho yako
It was wow
 
Mkuu samahani...
hivi hio asali ya hao nyuki wadogo hio ndio kazi yake?
kuna rafiki yangu wa karibu sana ameniletea dumu la lita 5, ni engineer sasa kuna projects huko mikoani alikwenda akanikabidhi kama zawadi...
sijaitumia ina uchachu flani, mi natumia hii nyingine tam tam napaka hata kwenye mkate, tupeane ujuzi ndugu...
Hiyo asali ya nyuki wadogo ni nzuri sana. Mimi nilikuwa nainywa kwa wingi kadiri niwezavyo, mwanzoni inakuwa kama haikuvutii kuinywa lakini ukiizioea ni nzuri sana hasa kwa afya.

Hakikisha unakula chakula chenye nguvu na Cha kutosha utakuja kunishukuru. Kama tumbo lako haliko safi ukiinywa lazima utaendesha maana huwa inaflash uchafu usiohitajika na mafuta mwilini, lakini inakupa nguvu nyingi sana za "kuchoma" mkeo.

Nilikuwa nachoma hadi Raha ,ukipata muda ukafanya na zoezi japo hata kuruka kamba kwa dakika chache hutoiacha hiyo asali (UPULA). Kuna wakati ukuni unaenda hewani hadi unataka kung'oka ,halafu ukichoma mwanamke wako atakwambia ni wa moto na unavimbiana unatuna mithili ya kifutu aliyejeruhiwa.

UPULA ni muhimu na ni gharama sana hata kwenye manunuzi. Tena kama hiyo unayosema imetokea shamba moja kwa moja haijachakachuliwa inafaa sana sana sana sana. Kula hiyo kwa wingi utaona matokeo yake.

MUHIMU; Kama hujawahi kutumia anza kidogo kidogo maana ukiinywa kwa wingi inasababisha tumbo la kuendesha pasipo kuumwa, inalewesha na wakati mwingine kichefuchefu kwa baadhi ya watu
 
Back
Top Bottom