Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,299
- 46,754
Vikuku kwa mguu,,sisi huku hoi..
Anyway,miguu mizuri.
Vikuku kwa mguu,,sisi huku hoi..
Kula sana hiyo UPULA utakuja kutoa matokeo humumkuu nimecheka sana...
vile vile asante sana kwa elimu...
now nimejua...








Na sisi wenye allergy na protectors tukimbilie wapi?![]()
Kumbe, hizo protector nazoziongelea mimi hazipati ukungu haraka na crakes kirahisi ni bomba sanaWanawake ni mapambo ya dunia Mungu amewapa uzuri asili msijibadilishe wapendwa,



Umenipa shule hapa, sisi wakina masawe tunaiita nyuri kama sijakosea, asali ni tiba ya vitu vingi sana lakini iwe ya hao nyuki wadogo ni tiba sana mkuu, sishangai kufanya maajabu, watu wamekazana na mavumbi ya wakongoHiyo asali ya nyuki wadogo ni nzuri sana. Mimi nilikuwa nainywa kwa wingi kadiri niwezavyo, mwanzoni inakuwa kama haikuvutii kuinywa lakini ukiizioea ni nzuri sana hasa kwa afya.
Hakikisha unakula chakula chenye nguvu na Cha kutosha utakuja kunishukuru. Kama tumbo lako haliko safi ukiinywa lazima utaendesha maana huwa inaflash uchafu usiohitajika na mafuta mwilini, lakini inakupa nguvu nyingi sana za "kuchoma" mkeo.
Nilikuwa nachoma hadi Raha ,ukipata muda ukafanya na zoezi japo hata kuruka kamba kwa dakika chache hutoiacha hiyo asali (UPULA). Kuna wakati ukuni unaenda hewani hadi unataka kung'oka ,halafu ukichoma mwanamke wako atakwambia ni wa moto na unavimbiana unatuna mithili ya kifutu aliyejeruhiwa.
UPULA ni muhimu na ni gharama sana hata kwenye manunuzi. Tena kama hiyo unayosema imetokea shamba moja kwa moja haijachakachuliwa inafaa sana sana sana sana. Kula hiyo kwa wingi utaona matokeo yake.
MUHIMU; Kama hujawahi kutumia anza kidogo kidogo maana ukiinywa kwa wingi inasababisha tumbo la kuendesha pasipo kuumwa, inalewesha na wakati mwingine kichefuchefu kwa baadhi ya watu


wakati kuna vitu asiliaWanawake ni mapambo ya dunia Mungu amewapa uzuri asili msijibadilishe wapendwa,![]()

Dah blaza mimi ningemtunuku buuureeeDepal lete hela nikuachie samsung hiiView attachment 1946954
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app

Nilimiss selfika ya hivi


Hata hio si miguu yako
Huwa naona vitu vyakoHmmmm...jikoni umeniona lini?? Nyie ndo wale huambiwaga "Baby uje na chips!" on daily basis lwa kudanganyika nyie 😁😁
Ilipie nitumiwe 😂Dah blaza mimi ningemtunuku buuureee![]()
umependeza mawardat
vimeshuka vitu humu mpaka nimesema hiiiNilimiss selfika ya hivi
Mambo ni![]()
mkuu bia tamukabla ya kwenda kutafuta. Tunywe bia kwanza wakuu hakika itakuongezea bahati.
Au kama vipi usiende tu kama mimi niliamua kugeuza kutokwenda kazini na nikarudi baa.. 😀😀😀
View attachment 1947522