Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hebu fanya kunitoa ushamba
Ile asali ya nyuki wadogo inaitwa UPULA.

Siku nimetoka zangu Dar nikaenda Tabora mashambani hukooooo, kufika nikawa nafakamia UPULA kila siku nakunywa , nilikaa kama majuma mawili hivi kule shamba, lahaulaaaaaa siku nimetoka kule kuja kukutana na bibi yako.... Weeeeeeeeeee, alitoka na Dera lake mkononi, nikawa najiuliza nini kimetokea ? Kuja kufuatilia kumbe ni UPULA

Mnara unakaa hewani kiasi kwamba usipokaa kwa umakini unaweza ukajikuta boxer na jeans zilishatatuka kitaaambo huna habari
 
Ile asali ya nyuki wadogo inaitwa UPULA.

Siku nimetoka zangu Dar nikaenda Tabora mashambani hukooooo, kufika nikawa nafakamia UPULA kila siku nakunywa , nilikaa kama majuma mawili hivi kule shamba, lahaulaaaaaa siku nimetoka kule kuja kukutana na bibi yako.... Weeeeeeeeeee, alitoka na Dera lake mkononi, nikawa najiuliza nini kimetokea ? Kuja kufuatilia kumbe ni UPULA

Mnara unakaa hewani kiasi kwamba usipokaa kwa umakini unaweza ukajikuta boxer na jeans zilishatatuka kitaaambo huna habari
We ulitaka mtengua nyonga mwenzio

Yani kama napata picha hivi
 
We ulitaka mtengua nyonga mwenzio

Yani kama napata picha hivi
Enheeeeeeeh! Vuta picha ile siku ambayo bebe wako Lee mligaragazana hadi ukatoka na kufuli mkononi halafu ikawa kila ukikaa ukikumbuka ile mikito unajikuta tu unacheeeka unafurahi.

Maake unajua haya mapanya wakati mwingine huwa yanakuwa kama yamepandisha mashetani bas kila ukililisha linazidi kutuna na kufukunyua naniliu zooote linafukua zilikolala linavuruguaaaa hadi unafurahi na roho yako
 
Ile asali ya nyuki wadogo inaitwa UPULA.

Siku nimetoka zangu Dar nikaenda Tabora mashambani hukooooo, kufika nikawa nafakamia UPULA kila siku nakunywa , nilikaa kama majuma mawili hivi kule shamba, lahaulaaaaaa siku nimetoka kule kuja kukutana na bibi yako.... Weeeeeeeeeee, alitoka na Dera lake mkononi, nikawa najiuliza nini kimetokea ? Kuja kufuatilia kumbe ni UPULA

Mnara unakaa hewani kiasi kwamba usipokaa kwa umakini unaweza ukajikuta boxer na jeans zilishatatuka kitaaambo huna habari
Mkuu samahani...
hivi hio asali ya hao nyuki wadogo hio ndio kazi yake?
kuna rafiki yangu wa karibu sana ameniletea dumu la lita 5, ni engineer sasa kuna projects huko mikoani alikwenda akanikabidhi kama zawadi...
sijaitumia ina uchachu flani, mi natumia hii nyingine tam tam napaka hata kwenye mkate, tupeane ujuzi ndugu...
 
Back
Top Bottom