Welcome backNipo rafiki ni majukumu yalinificha tu
Hebu fanya kunitoa ushamba

Ndio Raha ya jf ndugu ,hahahaaaaa.Mkuu nimecheka mno, sawa best


Chap kwa harakaHapana neno unaweza itumia tu
ningekuwa raisi we ungekuwa mshauri wangu, sio kwa hizo technic 🙂
Naomba unipe hiyo kazi niendele kukushauri na mengine mkuu, ili nipate ujira wangu

Umerudi kwa kasi best, hebu ngoja kwanza nipumzishe kwanza ile ya juu bado sijaimaliza kui zoom
vizuri umedondosha nyingine

Ile asali ya nyuki wadogo inaitwa UPULA.Hebu fanya kunitoa ushamba![]()

We ulitaka mtengua nyonga mwenzioIle asali ya nyuki wadogo inaitwa UPULA.
Siku nimetoka zangu Dar nikaenda Tabora mashambani hukooooo, kufika nikawa nafakamia UPULA kila siku nakunywa , nilikaa kama majuma mawili hivi kule shamba, lahaulaaaaaa siku nimetoka kule kuja kukutana na bibi yako.... Weeeeeeeeeee, alitoka na Dera lake mkononi, nikawa najiuliza nini kimetokea ? Kuja kufuatilia kumbe ni UPULA![]()
Mnara unakaa hewani kiasi kwamba usipokaa kwa umakini unaweza ukajikuta boxer na jeans zilishatatuka kitaaambo huna habari

Hayo ndo mambo Sasa, haya leta darsa wengine tukafanyiwe praktiko
Enheeeeeeeh! Vuta picha ile siku ambayo bebe wako Lee mligaragazana hadi ukatoka na kufuli mkononi halafu ikawa kila ukikaa ukikumbuka ile mikito unajikuta tu unacheeeka unafurahi.We ulitaka mtengua nyonga mwenzio
Yani kama napata picha hivi
bas kila ukililisha linazidi kutuna na kufukunyua naniliu zooote linafukua zilikolala linavuruguaaaa hadi unafurahi na roho yako 

Hayo ndo mambo Sasa, haya leta darsa wengine tukafanyiwe praktiko





Ndio Raha ya jf ndugu ,hahahaaaaa.
Pale Arusha nilitumia moja ya mbinu zako nikaifanyia maboresho kidogo tu, nikafanikiwa![]()
Mkuu safiiii sana itabidi nizidishe kukushirikisha mbinu mtambuko ili zikunufaishe kamanda

Mkuu samahani...Ile asali ya nyuki wadogo inaitwa UPULA.
Siku nimetoka zangu Dar nikaenda Tabora mashambani hukooooo, kufika nikawa nafakamia UPULA kila siku nakunywa , nilikaa kama majuma mawili hivi kule shamba, lahaulaaaaaa siku nimetoka kule kuja kukutana na bibi yako.... Weeeeeeeeeee, alitoka na Dera lake mkononi, nikawa najiuliza nini kimetokea ? Kuja kufuatilia kumbe ni UPULA![]()
Mnara unakaa hewani kiasi kwamba usipokaa kwa umakini unaweza ukajikuta boxer na jeans zilishatatuka kitaaambo huna habari
Nigawie mguu kidogo