Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Ni Mjini Magharibi
Acha basi kusema hivyo, usihamasishe vijana wasiende shule...Kweli kusoma kipaji.
Wengine tumemaliza fom tuu na shule ikaishia hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha yani mimi hata kuionaBora hata wewe utakuwa unataka kuisikia
Mimi yaani hata kuitaja sitaki
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu kusoma siyo kukurupukaShule wengine wanaona ni kama sifa, kuna jamaa alirudi shuleni kusoma engineering eti kisa gf wake alikuwa engineer, sasa katika chatting gf alikuwa ana terminologies za ki engineer, jamaa akaona ya nini kunyanyasika akarudi kusoma engineering waende sawa eti hataki kuzidiwa, cha ajabu hata cheti hakimsaidii lolote...
Kusoma ni kipaji mkuu...
Mimi sijafunika lakiniSura zenu mnafunika kwa maua maua kwanini eti?!![]()
La 7 tu linatosha mkuu.Acha basi kusema hivyo, usihamasishe vijana wasiende shule...
Mimi hata nikiona watu wanaongea nastukaHaha yani mimi hata kuiona
You are actually joking....La 7 tu linatosha mkuu.
Kusoma sana ni uoga wa maisha.
Mimi nimeishia la 7,najua kusoma na kuandika, na maisha yanaenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijiografia ni kisiwa kimoja ila kiutawala ni mikoa mitatu tofauti kuna Mjini Magharibi, Unguja Kaskazini na Unguja Kusini ndani ya kisiwa kimoja
Umeona sasa hapo Anne


Tatizo sponsor unachelewa kutoa muongozo
View attachment 1928282
Mpaka nimefika home yani
Kama chai inapanda njoo huku shamba
View attachment 1928283

Mambo unayajua kadiri unavyoendelea Kuishi.Hawapendi shule, natamani ningepata fursa ya kusoma and not for the sake of being employed but kwa sababu ya kujua Mambo, My Neural network nk
I really mean it
Lakini hiyo mjini magharibi si ipo unguja.Umeona sasa hapo Anne
Hicho kisiwa cha juu ni muunganiko wa mikoa ya Pemba Kaskazini na Pemba Kusini, na hicho cha chini ni muunganiko wa mikoa ya Mjini Magharibi, Unguja Kaskazini na Unguja Kusini
Ila visiwa vyote hivyo viwili kwa pamoja vinaitwa visiwa vya Zanzibar
Daah nyie ualimu ni witoView attachment 1928439




