Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Zanzibar inaundwa na visiwa viwili, Unguja na Pemba. Watu wengi wanaichukulia Zanzibar kama Unguja.

Nilimaanisha hiyo sehem iko Unguja ambayo ni sehem ya Zanzibar
Yeah naelewa kuwa Zanzibar ni muunganiko wa visiwa vya Unguja na Pemba

Ila kiujumla Zanzibar ina mikoa mitano ambayo ni Mjini Magharibi, Unguja Kaskazini na Kusini, na Pemba Kaskazini na Kusini

Sema labda kwa vile watu wengi hawaufahamu huo mkoa wa Mjini Magharibi hivyo kuwarahishia ndiyo ukasema Forodhani iko Unguja right
 
Njoo Toure Drive, Karibu na light House, tuelekee coco kwenye mihogo na Mishkaki.
Itakuwaje sasa wakati mi nilijiongeza nikatulia hapa??? 🤔🤔🤔
20210907_173456.jpg


Alafu nshaagiza smoothie nilikuwa nategemea sponsor uje u-sort out 😒😒
 
Hahahaha, toa Coordinates sahihi, Kuna location kama hizi zaidi ya nne humu mjini.
Hahahaha, toa Coordinates sahihi, Kuna location kama hizi zaidi ya nne humu mjini.
Tatizo sponsor unachelewa kutoa muongozo
🙁🙁
20210907_182120.jpg


Mpaka nimefika home yani 🥴🥴
Kama chai inapanda njoo huku shamba 😉
20210907_182013.jpg
 
Back
Top Bottom