Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kijiografia ni kisiwa kimoja ila kiutawala ni mikoa mitatu tofauti kuna Mjini Magharibi, Unguja Kaskazini na Unguja Kusini ndani ya kisiwa kimoja

Visiwa vya Zanzibar vinajumuisha mikoa mitano ambayo ni Mjini Magharibi, Unguja Kaskazini, Unguja Kusini, Pemba Kaskazini na Pemba Kusini

Sasa Mjini Magharibi na Unguja Kaskazini na Kusini kijiografia ni mikoa iliyoungana kwenye kisiwa kimoja wakati Pemba Kaskazini na Kusini ni kisiwa kilichojitenga peke yake lakini hivyo visiwa vyote kwa pamoja vinaitwa visiwa vya Zanzibar
Lakini unguja kaskazini,sijui mjini magharibi na blah blah nyingjne zote zipo ndani ya kisiwa Cha Unguja..si Ndiyo?




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh, kweli tumepishana, Ili kutatua hili tatizo , tuma ile ya uhakika, sio zile tarakimu tatu za wakulungwa.
emoji1787.png
Fanya kunionyesha mfano basi 😉
Tayari kidole kipo kwenye kale kagreen button hapa 👆🏾
 
20210908_013504.jpg

✍✍
Dear Sunny,

Thank you for giving me Sunrise, Sunset & Sunkisses....

You and I got a special kinda relationship.
Your kisses are warm & fuzzy...
You are radiant...contagious even..
Your light is never dull....
....nothing can dim it.
Will I ever be like you???
Have I ever brighten someone's day the way you light up mine?
All I know for sure is...
I love you when you rise...and I love you when you set!

I know......I'm the worst!
Wanting you close but still keeping my distance when you come on a little too strong....
Luckily, you know my love for you will always be there...
So you walk away around dusk and let me reflect on the day before....
If Im brave enough....prepare to face the day to come..
Knowing that you'll show up early in the morning....
Before disappearing again...
...just in time for me to catch one last glance of your beautiful golden light as you set.

I love you!

#latenightnonsense
 
View attachment 1928625

Dear Sunny,

Thank you for giving me Sunrise, Sunset & Sunkisses....

You and I got a special kinda relationship.
Your kisses are warm & fuzzy...
You are radiant...contagious even..
Your light is never dull....
....nothing can dim it.
Will I ever be like you???
Have I ever brighten someone's day the way you light up mine?
All I know for sure is...
I love you when you rise...and I love you when you set!

I know......I'm the worst!
Wanting you close but still keeping my distance when you come on a little too strong....
Luckily, you know my love for you will always be there...
So you walk away around dusk and let me reflect on the day before....
If Im brave enough....prepare to face the day to come..
Knowing that you'll show up early in the morning....
Before disappearing again...
...just in time for me to catch one last glance of your beautiful golden light as you set.

I love you!

#latenightnonsense


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna rafiki Kama Yesu
Hakuna hakuna
Hakuna na tabibu mwingine
Yu pekee yu pekee

Yesu ajua shida zetu
Aweza kutuokoa
Hapana rafiki kama Yesu
Yu pekee Yu pekee.

Yeye hawezi kutusahau
Hawezi hawezi
Hata gizani anatulinda
Hakika hakika

Yesu anafahamu yote
Anatuongoza sisi
Hakuna rafiki Kama Yesu
Hakuna hakuna.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom