Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hakuna rafiki Kama Yesu
Hakuna hakuna
Hakuna na tabibu mwingine
Yu pekee yu pekee

Yesu ajua shida zetu
Aweza kutuokoa
Hapana rafiki kama Yesu
Yu pekee Yu pekee.

Yeye hawezi kutusahau
Hawezi hawezi
Hata gizani anatulinda
Hakika hakika

Yesu anafahamu yote
Anatuongoza sisi
Hakuna rafiki Kama Yesu
Hakuna hakuna.


Sent using Jamii Forums mobile app
Tenzi? No ngapi?
 
Ayubu 42:10
Kisha BWANA akaugeuza uteka wa Ayubu, hapo alipowaombea rafiki zake; BWANA naye akampa Ayubu mara mbili kuliko hayo aliyokuwa nayo kwanza.

Mungu akageuze uteka wako, akurejeshee maradufu katika yale adui aliyoharibu na kuiba
 
Msaada tutani, December ikimpendeza Mungu nakuja huko,naomba kujua maeneo yenye hotel za gharama nafuu isiyozidi 50 kwa siku na maeneo gani mazuri kutembelea,na vp kuhusu usafiri wa kunifikusha niendapo?!
Kwa mwenyeji yeyote wa zenji msaada

Watakuja kukupa muongozo mkuu. Ikiwa ni wakati wa low season, gharama zinakua rafiki.

CC
Smart911
 
JamiiForums-441758615.jpg
 
Back
Top Bottom