Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

Ila mimi nakula kidogo lakini siyo kama hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anne hii sio dinner jamani 😂😂😂

Sijafikia huko bado. Nilikuwa na-crave kitu cha sukari tu so nilivyofika home nikaona chai na biscuits vitaniridhisha.
 
Mimi wa kishua?
Kama mimi wa kishua basi kila mtu wa kishua..
Mtaani msoto mkali,
Ila shule sitaki tena hata kusikia..wala sitamani tena kuisikia,,nimefinalize kila kitu.

Now wacha nizungushe maji ya kandoro jiji lenu niokoteze mia Mia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah mwenyewe shule sitaki kuisikia tena aisee
 
Daah mwenyewe shule sitaki kuisikia tena aisee
Shule wengine wanaona ni kama sifa, kuna jamaa alirudi shuleni kusoma engineering eti kisa gf wake alikuwa engineer, sasa katika chatting gf alikuwa ana terminologies za ki engineer, jamaa akaona ya nini kunyanyasika akarudi kusoma engineering waende sawa eti hataki kuzidiwa, cha ajabu hata cheti hakimsaidii lolote...

Kusoma ni kipaji mkuu...
 
Shule wengine wanaona ni kama sifa, kuna jamaa alirudi shuleni kusoma engineering eti kisa gf wake alikuwa engineer, sasa katika chatting gf alikuwa ana terminologies za ki engineer, jamaa akaona ya nini kunyanyasika akarudi kusoma engineering waende sawa eti hataki kuzidiwa, cha ajabu hata cheti hakimsaidii lolote...

Kusoma ni kipaji mkuu...
Kweli kusoma kipaji.

Wengine tumemaliza fom tuu na shule ikaishia hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom