Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe mwanaume mwenye tabia za kike narudia tena UNIKOME. Sikujui hunijui unaanzaje kuniongelea ufala?

Kwanza sipendagi mazoea na mashoga tuheshimiane tafadhali.
Tapeli nilikutapeli wewe? Kwanza hela huna nakutapeli mambupu au? NIKOME
 
Ndo nikuulize wewe. Ni nini unachohangaika na mimi? Sina chochote ila kutwa kunikalia kooni kama tunashea bwana inahusu?
Embu fanya mambo yako acha kufuatilia wasiokuhusu.
Tatizo lako wewe ukiambiwa ukweli unajifanya kuwehuka.

Mimi sina tatizo na wewe kabisa,ila ninachojaribu kukwambia badilika oooh, utajiskiaje yule binti yako akianza kuiga tabia zako?
 
mimi burudani tuu... HUU uzi binafsi na kipekee umenifaa sana... Nimepata rafiki tuka chill mno last weekend... Tunaye hapa ila kakausha kabisa... Nami nimeheshimu msimamo wake huo... Kesho tunaweza kufanya featuring... .... Wanaobeza acha tu wabeze
jina lake linaanzia na herufi gani?? 🙉🙉😆😆😆
 
We unanijua sasa siwezagi kuandika gazeti nikichoka sana kama hilo dude hapo na mzigua ....natukanaga

eeh hii ndo weakness yangu short temper nikaona wengi ndo wanapolalia na wakawa wananionea kweli nalambwa ban wakati uchokozi wanaanza wao,, sasa gia ya saiv ni nzito mtu namchokoza mpaka alipuke halafu nakaa kando namchora kwa raha zote @Karma
Huyu Hana ligi ila vichambo vyake sio vya nchi hii.
Halafu huwa haongei Sana ...
kapeace ni habari nyingine
 
Dah huu uzi umenivimbisha macho. Kuna picha ya mpendwa mmoja huku (mdada) natafuta kweli. Maana Naangalia post zake kwa hii thread ni kama ameshaitupia hapa... Ila Sasa nimeshapekenyeua uzi huu balaa ila sijaiona hadi Sasa!

Fanya hata kuiniletea kwa Majaliwa bhas! Angalau nichaji mboni za macho haya siku iende Sawa.
Lete hela nikutumie ninayo
 
We unanijua sasa siwezagi kuandika gazeti nikichoka sana kama hilo dude hapo na mzigua ....natukanaga

eeh hii ndo weakness yangu short temper nikaona wengi ndo wanapolalia na wakawa wananionea kweli nalambwa ban wakati uchokozi wanaanza wao,, sasa gia ya saiv ni nzito mtu namchokoza mpaka alipuke halafu nakaa kando namchora kwa raha zote @Karma
 
Back
Top Bottom