Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 9,364
- 34,558
Mkaka kajanzia vizuri nashangaa anajikataaSaguda bhana huyu ni wewe😄
Mkaka kajanzia vizuri nashangaa anajikataaSaguda bhana huyu ni wewe😄
Hapo sawa, ngoja niwacheki wenyeji wangu akina Karma , Saint Anne na Heaven Sent waniongozeNdizi na carrot hata huku zipo nyingi.
Naandaa gunia la kubebea viazi na parachichi. Ukigeuka hivi unajazia na zabibu 😂 afu unatuma na shabiby
Koh koh koh ...........🙈🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻Sawa kaka
Kila uzi unaweka kijiwe cha mvinyo 😂 yaan na siku ukiunywa utatapika nakwambiaIla baba Mtumishi Pep picha haijakamilika bado
Ikamilishe kabisa ili tufunge mjadala wa mvinyo.
Unatakiwa kumchagulia utakaomfanya awe comfortable hata akimaliza chupa 2.
Hajawahi kunywa, nilishamchagulia saint Anna ni tamu lakini kutwa kuijadili 😂 au basi akwende kwa Altar wine, ila haijaandikwa alcohol percent ni kama tu non alcoholic.Unatakiwa kumchagulia utakaomfanya awe comfortable hata akimaliza chupa 2.
Kodi ya mvinyo ni muhimu tulipe wote🙊
Ngoja nimtafutie madompo nimpelekee nikienda 🙊Hajawahi kunywa, nilishamchagulia saint Anna ni tamu lakini kutwa kuijadili 😂 au basi akwende kwa Altar wine, ila haijaandikwa alcohol percent ni kama tu non alcoholic.
Nasikia Altar wine ndio inatumia altareni 😂 atest hiyo.
Huyu binti msumbufuuu Saint Anne sana.
Dompo mtamuokota 🤣
Nataka nimkuze na azoee kwa haraka. Akifuzu ndiyo tunampa akina Hennessey😀Dompo mtamuokota 🤣
Tena zile za vidumu nakwambia hata glass mbili hatoboi
Utamuua 😆😆Nataka nimkuze na azoee kwa haraka. Akifuzu ndiyo tunampa akina Hennessey😀
Bageshi. Nagūbona. Gashinaga ūtalī gayanda gado gīkī? Sabaga nkoyi duze dūlye sinonuNilimtembelea rafiki yangu ofisini kwake na kuamua kujiselfie! Jamaa ana fight Sana kimaisha hongera brooView attachment 1878284
Rusha moja ukiwa umeshikilia Cobalt au TitaniumNataka nitupie selfie inanigomea ktk attach file
HahahahaHumu stori ni nyingi kuliko picha,ngoja nitupie hii picha yangu moja niliyopigwa jana nilipotua duniani.
View attachment 1878831